Bourgeoisie
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 656
- 162
Hivi ni kweli kuwa mwanamke hawezi kumsahau mwanamume aliyemleta katika dunia ya mapenzi kumbikiri. Hata kama mwanamke huyo atakuja kuolewa na mwanamume mwingine hapo baadaye.
hii topic wanaume wengine wanaipenda sijui kwa kuwa wanataka kujipa moyo kuwa watapendwa na hao wanawake maisha,sijui ila sidhani
ya kale hayo...........hayanuki tena
na mwanume anafikir hivo nahis anajidanganya tu.......
hakuna kitu kama hicho, kupenda kunatofautiana, sio 7bu kuwa kakubikiri ndio usimsahau...kuna wakati mwingine huwa mtu anasema huyu wa sasa alikuwa wapi asinibikiri yeye nilipoteza bikira yangu kwa **** bure
sijafuta kesi ujue.....ohooo
hapo sasa
mi huwa hata haniingia akili wala sina cha kujutia eti nilimkosa or anything
I simply dont have any memories to cherish juu yake but regrets!!!!!
Preta mamii................ikawaje sasa....
nilikosa tiketi kwenye buibui na unajua huku Yaeda bus ni hilo tu likiondoka ndio imetoka....next time my dear nitakata tikiti siku mbili kabla usihofu
Laahaulah!. Umekaribia kusema ukweli hapo!.hakuna kitu kama hicho, kupenda kunatofautiana, sio 7bu kuwa kakubikiri ndio usimsahau...kuna wakati mwingine huwa mtu anasema huyu wa sasa alikuwa wapi asinibikiri yeye nilipoteza bikira yangu kwa **** bure
hahaaaaaa umeanza tena...............yule tolu ungemwambia angekuwekea siti
yaani hii mada..........eti siwezi kumsahau, hivi ujue ndo imenifany animerecalu ule upuuzi, eeh wakwetu
Laahaulah!. Umekaribia kusema ukweli hapo!.
hivi unaweza kuta kuna wanaume wanajifariji kuwa hawajasahaulika?....mbona watakuwa wanajidanganya.....kuna mambo ya kutokusahau lakini sio hilo
hahaaaaa wape mama..............
why should I???? me all I do ni majuto tu.............waaaaaaaaayi!!!
Leo mshatuharibia week-end yetu~sisi tunajua mnatukumbuka kumbe hola, walaah nabada ushungu wa moyo!.sio wewe tu wengi tunajuta....na huyu sijui bugwasie ndio kanifungua ubongo kuwa majamaa yanajipa matumaini huko yalipo kuwa yanakumbukwa...he he he