Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 91,913
- 112,263
Miaka mitatu bila kumegwa? No way bana...lazima atakuwa na matatizo ya hormone huyo. Akiwa yuko sawa lazima atamegwa na atajichezea sana...tena sana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka mitatu bila kumegwa? No way bana...lazima atakuwa na matatizo ya hormone huyo. Akiwa yuko sawa lazima atamegwa na atajichezea sana...tena sana tu
Wat about catholic Nuns?
Wat about catholic Nuns?
Tunaweza sana!-Ni uamuzi tu
Wat about catholic Nuns?
Kama hakuna vishawishi vya njemba kukufukuzia kila zinapokuona. Miaka mitatu bila kunanihii na mtu umezoea kufanya hivyo ni muda mrefu sana jamani.
Hawa wanasali muda wote hivo wanakuwa na upako wa kushinda majaribu.
Wanawake wana uwezo huo, ila lazima uwe na jitihada za kupiga simu na muwe mnashirikishana mambo mengi kama mkiwa pamoja. Hivi hujawahi kukaa mwezi bila kufanya na mkeo au demu? Yawezekana yote.
...Mh!! Ulithibitishaje kuwa ndani ya 3 years hakumegwa???Mwanamke ni mvumilivu kuliko mwanaume,jamaa awe mpole tuu ila akumbuke kumpa company demu wake via emails,simu,sms.
Wangu alimanage for 3 years ughaibuni na aliporudi nilimpa zawadi though sometimes huwa wasumbufu.
Ilifikia kipindi alipatwa na psychological problems wakashauri niende.
Asante kwa kunitia moyo. Maana jamaa walishaanza kumpa pressure mshkaji. Mshkaji dem wake anaonekana katulia lakini. May be kama unavyosema ataweza kusubiri bila kumegwa kwa miaka yote 3.
Sio miaka 3 hakuna cha mwanamke wala mwanaume!!!Wanawake wana uwezo huo, ila lazima uwe na jitihada za kupiga simu na muwe mnashirikishana mambo mengi kama mkiwa pamoja. Hivi hujawahi kukaa mwezi bila kufanya na mkeo au demu? Yawezekana yote.
"Miaka mitatu bila kumegwa? No way bana...lazima atakuwa na matatizo ya hormone huyo. Akiwa yuko sawa lazima atamegwa na atajichezea sana...tena sana tu"
NOTHING IS IMPOSSIBLE WITH GOD AND TO THOSE WHO BELIEVE IN GOD
inawezekana - ni kiasi cha kuushinda mwili - mambo ya kumegana ni ya mwili - na ukitaka kuufurahisha mwili ndio hivyo .................. ina maana jamaa walikuwa wanavunja amri ya SITA?? wanafanya dhambi ya uzinzi?? ndio hasara hiyo .............otherwise angekuwa saa hivi anaongelea habari za "wife" sio "GF" - kama Walizoeshana mambo hayo na walifanya bila kumhofu Mungu WOTE WAWILI WATAVUNUJA AMRI YA SITA - OTHERWISE WATUBU NA KUMRUDIA MUNGU ILI ROHO YA UAMINIFU IINGIE NDANI YA MAISHA YAO; NA HATA WAKIWA MBALI MBALI - NGUVU YA MUNGU ITAWAFUNIKA - 3 years si mingi ukilinganisha jinsi masaa, siku, miezi na miaka inavyoondoka. Na pia tunda mojawapo la UPENDO ni UVUMILIVU
Kumegana ni bonge moja la stress reliever. Wewe sijui kama ni demu au ni meni lakini kwangu mimi, nisipomega kwa muda mrefu naanza kuwa na mi stress kibao. Naanza kuwa mchemfu. Nachemka chemka tu nikiona demu yoyote hata kama sio mkali. Lakini nikishamega huwa natulia sana. Nakuwa very cool, calm, and collected na sikati kati shingo nikiona demu.
Acha bana. Kwenda kinyume na nature kwa hiari yako ni kazi ngumu bana