Mwanamke hawezi kukaa bila ku-"do" kwa miaka 3?

Bao3

JF-Expert Member
Aug 7, 2009
318
24
Jana tulikua ktk kikao kisicho rasmi pale Landmark. Jamaa yetu mmoja kapata safari itakayomtenganisha na GF kwa muda wa miaka 3. Tukawa tunamtania kwamba ndani ya hiyo miaka mitatu kwa jinsi wanaume walivyo lazima atamega huko aendako. Mwingine akasema hata GF wamshikaji ktk kipindi chote hicho atakua kamegwa mara nyingi tu,eti wanawake hawawezi kuishi muda kama huo bila ku-"do". Hivi ni kweli jamani? Nilibishana nao sana kwani najua wanaume ndio sio wavumilivu ila wanawake mara nyingi hua wanao uwezo wa kuvumilia mambo hayo. Mwenye ukweli atupe please.
 
Mwanamke ni mvumilivu kuliko mwanaume,jamaa awe mpole tuu ila akumbuke kumpa company demu wake via emails,simu,sms.
Wangu alimanage for 3 years ughaibuni na aliporudi nilimpa zawadi though sometimes huwa wasumbufu.
Ilifikia kipindi alipatwa na psychological problems wakashauri niende.
 
Mwanamke ni mvumilivu kuliko mwanaume,jamaa awe mpole tuu ila akumbuke kumpa company demu wake via emails,simu,sms.
Wangu alimanage for 3 years ughaibuni na aliporudi nilimpa zawadi though sometimes huwa wasumbufu.
Ilifikia kipindi alipatwa na psychological problems wakashauri niende.

Alivyopatwa na psychological akawaje yani? Alitongoza wanaume au?
 
C kweli aisee, naskia wanaume ndy tunakuwa na ashki kuliko wanawake.
 
Mwanamke ni mvumilivu kuliko mwanaume,jamaa awe mpole tuu ila akumbuke kumpa company demu wake via emails,simu,sms.
Wangu alimanage for 3 years ughaibuni na aliporudi nilimpa zawadi though sometimes huwa wasumbufu.
Ilifikia kipindi alipatwa na psychological problems wakashauri niende.
Njowepe,kwa hilo una ushahidi gani maana uswazi wanasema nonino ni barabara ya lami gari likipita haliachi alama,au?
 
Njowepe,kwa hilo una ushahidi gani maana uswazi wanasema nonino ni barabara ya lami gari likipita haliachi alama,au?

I concur with you, lakini issue ni kwamba, anaweza kukaa 3yrs bila kugongwa?

binafsi siamini kama inawezekana, especially kama amezoea kumegana, na zaidi kama ana-history ya zaidi ya ex-BF 3
 
Njowepe,kwa hilo una ushahidi gani maana uswazi wanasema nonino ni barabara ya lami gari likipita haliachi alama,au?

...aaah, labda hivyo vigari vyenu ni vibajaji fulani hivi. naona hamjaona magari yenye fujo kama langu... likipita linaacha alama kwenye hiyo lami utafikiri kifaru au katapila la minyororo!!! vuruga vuruga tupu usipime
 
Kwanini lakini watenganishwe kwa miaka mitatu bila kuonana? Ni kitu gani hicho cha kumtenganisha mtu... masomo? Jeshi? au nini tena... Mbona kama masoma anaruhusiwa kusafiri naye. Hata kama hatasafiri naye bado kuna mambo ya likizo, si wataweza kuonana in between. Mambo mengine kusema haiwezekani ni kujitakia tu. Kafungwa jela ama...?!
 
...aaah, labda hivyo vigari vyenu ni vibajaji fulani hivi. naona hamjaona magari yenye fujo kama langu... likipita linaacha alama kwenye hiyo lami utafikiri kifaru au katapila la minyororo!!! vuruga vuruga tupu usipime

SteveD,

Miaka mitatu hata kama umeacha "alama", barabara itakuwa imeshakarabatiwa, unless uwe unapita njia hiyohiyo mara kwa mara mpaka mwenye "barabara" atakapokuwa amerudi!
 
SteveD,

Miaka mitatu hata kama umeacha "alama", barabara itakuwa imeshakarabatiwa, unless uwe unapita njia hiyohiyo mara kwa mara mpaka mwenye "barabara" atakapokuwa amerudi!

...bana eee, barabara za hapa bongo nani tena huyo anakarabati? Wahisani?!!
 
Tunaweza sana!-Ni uamuzi tu

Asante kwa kunitia moyo. Maana jamaa walishaanza kumpa pressure mshkaji. Mshkaji dem wake anaonekana katulia lakini. May be kama unavyosema ataweza kusubiri bila kumegwa kwa miaka yote 3.
 
...aaah, labda hivyo vigari vyenu ni vibajaji fulani hivi. naona hamjaona magari yenye fujo kama langu... likipita linaacha alama kwenye hiyo lami utafikiri kifaru au katapila la minyororo!!! vuruga vuruga tupu usipime

hahahahaaaa tetehteeeeh kwiii kwwiii bwaaaaahh
YOU MADE MY DAY MKUU!!
icon10.gif
 
Asante kwa kunitia moyo. Maana jamaa walishaanza kumpa pressure mshkaji. Mshkaji dem wake anaonekana katulia lakini. May be kama unavyosema ataweza kusubiri bila kumegwa kwa miaka yote 3.
Mkuu kumbe ni wewe mwenyewe!!!
 
Mkuu kumbe ni wewe mwenyewe!!!

No ni mshkaji wangu wa karibu sana. Si unajua utani wa kwenye vile vikao vyetu visivyo rasmi mkuu? maana ni rafiki yangu wa karibu sana. Baada ya watu kumpa maneno ya kumkatisha tamaa ilibidi nitumie muda wa ziada kumpoza. Ila jamaa alipata ganzi ghafla nami imani ilitaka kunitoka. Sasa huyo wa hapo juu at least kanipa mstari wa kuutumia leo: kwamba madem wakitaka wanaweza. Hivyo nitaweza kumshauri jamaa.
 
No ni mshkaji wangu wa karibu sana. Si unajua utani wa kwenye vile vikao vyetu visivyo rasmi mkuu? maana ni rafiki yangu wa karibu sana. Baada ya watu kumpa maneno ya kumkatisha tamaa ilibidi nitumie muda wa ziada kumpoza. Ila jamaa alipata ganzi ghafla nami imani ilitaka kunitoka. Sasa huyo wa hapo juu at least kanipa mstari wa kuutumia leo: kwamba madem wakitaka wanaweza. Hivyo nitaweza kumshauri jamaa.

Nami pia inaweza kunisaidia huko bdae ofcourse maana nataraji kuoa kama mwaka 2011 hivi. Kwahiyo nitakua natumia sentensi ya huyo mchangiaji kujiridhisha pindi niendapo trip zangu kikazi/masomo. Why not?
 
...aaah, labda hivyo vigari vyenu ni vibajaji fulani hivi. naona hamjaona magari yenye fujo kama langu... likipita linaacha alama kwenye hiyo lami utafikiri kifaru au katapila la minyororo!!! vuruga vuruga tupu usipime
SteveD hivi unawajua wanawake au unawasikia tu? humu duniani kuna mwanaume anaweza kummega mwanamke halafu akawa na 100% guarantee kuwa kamtosheleza? Ndugu yangu hakuna kitu kama hicho,mwanamke akiamua kutulia anakuwa ameamua mwenyewe lakini sio kwa sababu ya kalufundi kako,hilo kaa ukilijua kabisa.
 
Nami pia inaweza kunisaidia huko bdae ofcourse maana nataraji kuoa kama mwaka 2011 hivi. Kwahiyo nitakua natumia sentensi ya huyo mchangiaji kujiridhisha pindi niendapo trip zangu kikazi/masomo. Why not?

Kama kuna mtu alikua anamfukuzia akamkosa,utakapoondoka for 3 years lazima atammega tu. Ni too long time kwa mwanamke kukaa bila kale kagame kwakweli.
 
Mwanamke ni mvumilivu kuliko mwanaume,jamaa awe mpole tuu ila akumbuke kumpa company demu wake via emails,simu,sms.
Wangu alimanage for 3 years ughaibuni na aliporudi nilimpa zawadi though sometimes huwa wasumbufu.
Ilifikia kipindi alipatwa na psychological problems wakashauri niende.

Mkuu ulijuaje kama kweli alimanage? Miaka mitatu kwangu inawezekana kwa wanawake wenye sifa kama za Bikira Maria. Otherwise ni wizi mtupu!!!
 
No ni mshkaji wangu wa karibu sana. Si unajua utani wa kwenye vile vikao vyetu visivyo rasmi mkuu? maana ni rafiki yangu wa karibu sana. Baada ya watu kumpa maneno ya kumkatisha tamaa ilibidi nitumie muda wa ziada kumpoza. Ila jamaa alipata ganzi ghafla nami imani ilitaka kunitoka. Sasa huyo wa hapo juu at least kanipa mstari wa kuutumia leo: kwamba madem wakitaka wanaweza. Hivyo nitaweza kumshauri jamaa.


ah! yaani i didnt want to comment lakini basi tu...kwani huyo rafikiyo hawezi pia kuamua kuto****na ankokwenda? yeye mbona mwenzake asiwe na wasiwasi??? this conversation is one sided and very chauvinistic!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom