Mwanamke hana thamani, akitamkiwa TALAKA TALAKA TALAKA, ndoa imeisha hapo

Kwa hiyo utamke talaka, talaka, talaka mwanamke aende kwao.......hujawajua wanawake wewe, unaweza kujikuta wewe ndo umechapa lapa yeye akaendelea kujivinjari na watoto wake.
 
Hebu subiri kidogo nieleweshe hapo kwenye kutamka kwahiyo ninatakiwa nitamke talaka mara tatu na mchezo umekwisha au nafanya kama kunuia?
 
Kwa hiyo utamke talaka, talaka, talaka mwanamke aende kwao.......hujawajua wanawake wewe, unaweza kujikuta wewe ndo umechapa lapa yeye akaendelea kujivinjari na watoto wake.
Huyo atakuwa na kiburi na hana adabu, anakuwa kinyume na maandiko matakatifu katika uislam
 
Thamani ya mwanamke ni kubwa kuliko uKuu wa dunia. Mwanamke ndie anaeibeba dunia, ndie anaeibeba dini.
Kama ujui thamani ya mke akuachie watoto uhangaike nao kama utaweza, kesho tu utaomba msamaha arejee. Tuna mapungufu wote, wapo wanaume wapumbavu pia wanawake wapumbavu wako. Wapo wanaume feki pia wanawake feki. Muombe Mola akupe mke mwema utakuwa juu ya dunia, ukimpata mpumbavu utakuwa Mwalimu wa falsafa ya mapenzi kwa wenzio utapata pesa kama mshauri ndoa.
 
Hebu subiri kidogo nieleweshe hapo kwenye kutamka kwahiyo ninatakiwa nitamke talaka mara tatu na mchezo umekwisha au nafanya kama kunuia?
Yani wewe ni kutamka tu TALAKA TALAKA TALAKA..... mchezo umeisha hapo
 
Aaah...!
Kwani we ni mwanamke mpumbavu wa kwenye biblia πŸ˜„πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€βœοΈβœοΈ joke's
Mimi ni Said Kiroba nauliza nijue kama jimbo lipo wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…