sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Kwa hakika mwanamke ana thamani ndogo mnoooo
Kwa hakika mwanamke ana thamani ndogo mnoooo
Thamani maana yake ni nini? Nini maana ya thamani ya mtu?Kwa hakika mwanamke ana thamani ndogo mnoooo
Tushakuzoea mzee wa maswali, hata kukiwa na post ya kujamba utauliza maana halisi ya kujamba ni nini, ukijibiwa kutoa hewa chafu unaanza tena uliza maana halisi ya hewa chafu ni nini ππ hii tabia sijui huwa inakufaidisha nnThamani maana yake ni nini? Nini maana ya thamani ya mtu?
Mwanamke mwenye maadilimema ana thamani kubwa kuliko ata wanaume wengi mwanamke ndo nguzo kibwa ya familia ndo anae lea mme na watoto, ila siku hizi wanawake wajushusha thamani wenyewe kwa vitabia visio eleweka na mavazi ya hovyo.Kwa hakika mwanamke ana thamani ndogo mnoooo
Thamani ya mtu ni 'value' ya huyo mtu, unapoangalia value hauangalii 'magnitude'Thamani maana yake ni nini? Nini maana ya thamani ya mtu?
usihangaike kumjibu huyo, hapo utaanza kuulizwa maana ya MagnitudeThamani ya mtu ni 'value' ya huyo mtu, unapoangalia value hauangalii 'magnitude'
mleta mada anamaanisha mwanamke hana 'value' ila atakuwa na 'magnitude'
Inaweza tokea mwanaume kapata hasira akamtamkia talaka mara tatu ndo imeisha hioMwanamke mpumbavu ndie uachika
Wewe haujaachika bado?Mwanamke mpumbavu ndie uachika
Huyo atakuwa na kiburi na hana adabu, anakuwa kinyume na maandiko matakatifu katika uislamKwa hiyo utamke talaka, talaka, talaka mwanamke aende kwao.......hujawajua wanawake wewe, unaweza kujikuta wewe ndo umechapa lapa yeye akaendelea kujivinjari na watoto wake.
Yani wewe ni kutamka tu TALAKA TALAKA TALAKA..... mchezo umeisha hapoHebu subiri kidogo nieleweshe hapo kwenye kutamka kwahiyo ninatakiwa nitamke talaka mara tatu na mchezo umekwisha au nafanya kama kunuia?
Aaah...!Wewe haujaachika bado?
Mimi ni Said Kiroba nauliza nijue kama jimbo lipo waziAaah...!
Kwani we ni mwanamke mpumbavu wa kwenye biblia ππππππβοΈβοΈ joke's