Mwanamke haaminiki

Mwanamke haaminiki

Kuna mdau kasema hata mama yako usimwamini huku ni kuwadharau na kuwashushia heshima mama zetu, mama waliotulea kwa shida na raha umeumwa amehangaika na wewe ulimfanyia kia aina ya madhila na bado akakustahmilia leo msiwaamini mtakuja kupata lana bila kujijua

Next time tafta alieenda age kidogo 18 yrs bado akili za kitoto zinamsumbua

#bailly's
Una Akili sana wewe mtoto.
 
Duuuh, hadi mamako mzazi mnafiki pamoja na kukubeba miezi tisa kwenye tumbo lake???asee wanaume ni viumbe wa ajabu na huwa hamna shukrani hata mfanyiwe jema gani bado mna roho ngumu mnoooo...Mungu awasamehe kwani hamjui mlitakalo.
 
Mkuu.....
Kwa umri wa miaka 18, huyo bado ni msichana.
Naomba nisimjadili kwakweli
 
Duuuh, hadi mamako mzazi mnafiki pamoja na kukubeba miezi tisa kwenye tumbo lake???asee wanaume ni viumbe wa ajabu na huwa hamna shukrani hata mfanyiwe jema gani bado mna roho ngumu mnoooo...Mungu awasamehe kwani hamjui mlitakalo.
Kwa hiyo ww unambishia Mungu alieviumba?
 
Mkuu usiniquote tofauti inategemeana tunatofautiana katika uelewa, but all in all Do not trust a Woman.. Sasa kama wanawake wapo wa aina tofauti basi utaniambia..

Hata vitabu vitakatifu vimeelekeza ishini kwa akili sasa kama alitofautisha sijui
Kwa hiyo wewe mama yako humuamini kabisa? Au ulimaanisha nini kwa sentensi hiyo
 
kwavile imekutokea ww usiaminishe na wengine,,mbna kuna watu wanatulia na watu hao safii tu,,
 
Habari wadau wa mambo yetu pendwa.
Natumai wazima kabisa.

Bila kupoteza mda mda Nilikua na demu wa 18yrs nilimpenda sana na yeye alinipenda sana pia.
Tulidumu kwa miez kama miwili, tatizo la huyu mrembo alikua msiri sana, nilimuuliza yaliyokua yananimboa lakini kamwe hakuniambi hadi mimi kuchukua uamuz wa kumtema mara moja.

Huyu dogo aliwahi niambia hajawahi fanya mapenz kwa muda wa mwaka mmoja toka aachane na mpenzi wa awali. Hii ilinipa faraja sana kwani ni ngumu mwanamke kudumu kitambo chote hicho bila kunanihino.

Nilichokua kufahamu huyu mrembo alikua muongo yote alikua ananidanganya tuu.
Nilipomfuma basi ndo ukawa mwisho wa mahaba yetu.

Funzo nililopata kamwe usimuamini mwanamke kabisa hata akufanyie mema gani.
Ukitaka kujua namanisha nini soma kitabu cha mithali. Kuna mstari umeandikwa "Ishini na wake zenu kwa akili".

Kwa hayo maandiko nadiriki kusema wanawake wote ni wanafiki tuu hamna cha upendo wala nini.
Pamoja na mama yako?
 
Hakuna mstari wa kitabu cha mithali unaosema " ishini na wake zenu kwa akili"... We pia inaelekea huaminiki hausemi ukweli
Labda kasahau ni kitabu kipi cha Biblia lakini maandiko hayo yapo kweli kwenye Biblia wala hajakosea.
 
Yaani huyo mmoja uliekutana nae ndio useme hawaamini including mama yako mzazi
 
Kuna mdau kasema hata mama yako usimwamini huku ni kuwadharau na kuwashushia heshima mama zetu, mama waliotulea kwa shida na raha umeumwa amehangaika na wewe ulimfanyia kia aina ya madhila na bado akakustahmilia leo msiwaamini mtakuja kupata lana bila kujijua

Next time tafta alieenda age kidogo 18 yrs bado akili za kitoto zinamsumbua

#bailly's
True, akili kumkichwa tu
 
Kwa hiyo wewe mama yako humuamini kabisa? Au ulimaanisha nini kwa sentensi hiyo


Aisee kusema ukweli simuamini zaidi ya kumuamini kwa kunizaa tu hahahahah Do not qoute me through your mind Najijua mwenyewe..
 
Jina lako lenyewe ni majanga wewe mwenyewe ni jipu.

Pumba.fu sana weye.
 
Binadamu yeyote si wa kumwamini... Awe mwanamke au mwanaume.... Sema tu "Mwamba ngoma huvutia upande wake!"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom