Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,508
- 94,624
Hebu pitia uzi upya. uone jinsi wenzako walivyoweka wazi kuwa hata mama zao hawaamini. Kwa umri wake sishangai.Aisee, hayo maneno ya mwisho makali sana, wakati mwingine usipate stress na mada za namna hii. Pengine umri wake unamruhusu kuandika haya. NB:- Hakuna mwanaume asiyemwamini mama yake labda awe mvulana.
