Mwanamke haaminiki

Mwanamke haaminiki

Aisee, hayo maneno ya mwisho makali sana, wakati mwingine usipate stress na mada za namna hii. Pengine umri wake unamruhusu kuandika haya. NB:- Hakuna mwanaume asiyemwamini mama yake labda awe mvulana.
Hebu pitia uzi upya. uone jinsi wenzako walivyoweka wazi kuwa hata mama zao hawaamini. Kwa umri wake sishangai.
 
Hebu pitia uzi upya. uone jinsi wenzako walivyoweka wazi kuwa hata mama zao hawaamini. Kwa umri wake sishangai.
Nimekuelewa vyema na pia nimeuelewa uzi vyema ila nilipoangalia umri nikawa nimepata jibu, huenda akikua atakua mwanaume, asiyemwamini mtu aliyemweka tumboni miezi 9 na kumlea mpaka akaweza kutongoza itakua kwenye akili zake kuna tatizo. Kuna nyuzi nyingine unazisoma afu unazipotezea tu, ukizichukulia siriaz zitakusumbua.
 
Sio wte bhn,mtu kama mimi nikopoa
Mkuu wanaume nao ni nuksi tuu hamna lolote we jiamini peka yako tuu.
Bora usalitiwe mara 1000 kulipo wana wakusaliti kaka. Nimepitia ndo maana najua nachokiongea.
 
Kakaaa huo utani umeanza lini kaka ynguuu eee, we unauhakika nimeguswa pabaya
Mkuu ulichosema ni kweli hakuna mwanaume wala mwanamke kikubwa ni wewe tuu. mm nakwambia bora usalitiwe na watu wa jinsia nyingine kuliko jinsia yako.
 
Hujapitia magumu maishani ndo maana waona easy tuu.

Nikisema wanawake mnataa bado utabisha ila ndo ukweli huo.
Wewe unadate na msichana wa miaka 18 unasema umepitia mengi maishani? Hapo ulipo am sure hata 24 hujafika..
.
.
Maisha yamejaa changamoto za kila aina. kama kitu kidogo hivyo kinakuchanganya majukumu yakikuzidi na kero za mke sijui kama utaziweza.
.
.
**rekebisha post yako. msichana wa miaka 18 huwezi kumuita mwanamke. bado hajakua kiakili..amevunja ungo tu anapelekeshwa na hisia, hana akili yoyote!
 
Hujapitia magumu maishani ndo maana waona easy tuu.

Nikisema wanawake mnatamaa bado utabisha ila ndo ukweli huo.
Na hata kama umepitia magumu kiasi gani kusema huwaamini wanawake wote mpaka mama yako ni kupungukiwa na akili.
 
Wewe unadate na msichana wa miaka 18 unasema umepitia mengi maishani? Hapo ulipo am sure hata 24 hujafika..
.
.
Maisha yamejaa changamoto za kila aina. kama kitu kidogo hivyo kinakuchanganya majukumu yakikuzidi na kero za mke sijui kama utaziweza.
.
.
**rekebisha post yako. msichana wa miaka 18 huwezi kumuita mwanamke. bado hajakua kiakili..amevunja ungo tu anapelekeshwa na hisia, hana akili yoyote!
Mkuu naona una underrate sana watu humu. Wewe una hakika nimetembea na huyo demu peke yake? Unajua mangapi nimeyaona hadi kufikia hii hatua ya kudharau wanawake? na kwa taarifa yako tuu sio wanawake tuu bali hata wanaume wenzangu nao ni stupidy tuu.
Na pia naheshimu mwanamke zaid kidume mwenzangu kwa taarifa yako!
 
Mkuu ulichosema ni kweli hakuna mwanaume wala mwanamke kikubwa ni wewe tuu. mm nakwambia bora usalitiwe na watu wa jinsia nyingine kuliko jinsia yako.
Unaongea hivyo kwasababu wewe ni mwanaume. Wanawake nao wanaona wanaume ni wasaliti. hiyo ni nature tu. lakini ukweli ni kwamba kwenye mapenzi usaliti upo pande zote. wanaume wanaumizwa na jinsia ya kike na wanawake wanaumizwa na jinsia ya kiume. rate ya kuumizwa na ukali wa maumivu ni ule ule.
 
Unaongea hivyo kwasababu wewe ni mwanaume. Wanawake nao wanaona wanaume ni wasaliti. hiyo ni nature tu. lakini ukweli ni kwamba kwenye mapenzi usaliti upo pande zote. wanaume wanaumizwa na jinsia ya kike na wanawake wanaumizwa na jinsia ya kiume. rate ya kuumizwa na ukali wa maumivu ni ule ule.
Nakwambia hivi okay utitoa mapenzi still siamin mtu dunia hii.
 
Mkuu naona una underrate sana watu humu. Wewe una hakika nimetembea na huyo demu peke yake? Unajua mangapi nimeyaona hadi kufikia hii hatua ya kudharau wanawake? na kwa taarifa yako tuu sio wanawake tuu bali hata wanaume wenzangu nao ni stupidy tuu.
Na pia naheshimu mwanamke zaid kidume mwenzangu kwa taarifa yako!
Sawa. umemalizia vizuri! Pole!
 
Kuna mdau kasema hata mama yako usimwamini huku ni kuwadharau na kuwashushia heshima mama zetu, mama waliotulea kwa shida na raha umeumwa amehangaika na wewe ulimfanyia kia aina ya madhila na bado akakustahmilia leo msiwaamini mtakuja kupata lana bila kujijua

Next time tafta alieenda age kidogo 18 yrs bado akili za kitoto zinamsumbua

#bailly's
Kamanisha hata mama anaweza kukudanganya kwamba huyu ndo babako kumbe siyo.
 
Tatizo watu kama nyie hamjapitia magumu maishani ndo maana mnaongea tuu so siwezi kuwalaumu unajua mwisho wa siku kila mtu ana mapito yake.

HATA NIKISEMA WANAWAKE WOTE AKILI ZAO NI SAWA NAJUA UTAPINGA VIKALI KISA MAMA YAKO AU DADA ZAKO.
Aisee, hayo magumu ndo yepi kijana, au ndo hako kasichana kamekupitisha kwenye magumu, uwepo wako duniani ni uthibitisho tosha wa kuweka imani kwa mama zetu, wakati mwingine alitukanwa na kunyanyaswa kwa mimba aliyobeba lakini hakukuflash. Anyway kuna muda utafika utaona sababu ya kua na imani na mama yako, muda utasema.
 
Kwan ndo leo kusikia uongo wa namna hiyo?mbona ni uongo maarufu sana mpk wanaume wenzako tumeuzoea..
 
Huja
Kuna mdau kasema hata mama yako usimwamini huku ni kuwadharau na kuwashushia heshima mama zetu, mama waliotulea kwa shida na raha umeumwa amehangaika na wewe ulimfanyia kia aina ya madhila na bado akakustahmilia leo msiwaamini mtakuja kupata lana bila kujijua

Next time tafta alieenda age kidogo 18 yrs bado akili za kitoto zinamsumbua

#bailly's
Hujakutana na ukweli wa maisha. Yuko tayari kukutoa sadaka iliyothamani kuliko zote. Chezea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom