Mwanamke haaminiki

Mwanamke haaminiki

Kuna mdau kasema hata mama yako usimwamini huku ni kuwadharau na kuwashushia heshima mama zetu, mama waliotulea kwa shida na raha umeumwa amehangaika na wewe ulimfanyia kia aina ya madhila na bado akakustahmilia leo msiwaamini mtakuja kupata lana bila kujijua

Next time tafta alieenda age kidogo 18 yrs bado akili za kitoto zinamsumbua

#bailly's
Yaani huyo kijana mkuu atakuwa ananyemelewa na chembechembe za laana maana hamwamini hata mama yake aliyemtunza tumboni mwake kwa miezi Tisa na kumlea hadi anapata utamu wa kugegeda na kuwadharau wanawake .It's bullshit!!
 
Yaani huyo kijana mkuu atakuwa ananyemelewa na chembechembe za laana maana hamwamini hata mama yake aliyemtunza tumboni mwake kwa miezi Tisa na kumlea hadi anapata utamu wa kugegeda na kuwadharau wanawake .It's bullshit!!
Watu wa aina hii ni kuwaangalia tu
 
demu wa 18yrs unamuita mwanamke?
.
.
Kwahiyo ina maana matatizo yote kwenye mapenzi ni mwanamke anasababisha?
.
.
Nina wasiwasi hata mama zenu hamuwaamini. Hata baba zenu hawaamini mama zenu.
.
.
Wanaume muanze kuoana nyie kwa nyie. Kutwa kuanzisha mahusiano na watu mnaojua fika hawaaminiki.
 
Kuna mdau kasema hata mama yako usimwamini huku ni kuwadharau na kuwashushia heshima mama zetu, mama waliotulea kwa shida na raha umeumwa amehangaika na wewe ulimfanyia kia aina ya madhila na bado akakustahmilia leo msiwaamini mtakuja kupata lana bila kujijua

Next time tafta alieenda age kidogo 18 yrs bado akili za kitoto zinamsumbua

#bailly's
Swadakta, kiufupi alikua anadate na kasichana na sio mwanamke.
 
Achana na uyo mwanamke hakua paji lako,..muombe Mungu kua na subra utampata wa ubavu wako,..
 
Si madume wala majike wotee si wakuwaamini
 
2ada5022ecd2694a740b60b593ba05bc.jpg
 
Mkuu umesema ukweli mtupu,tunatakiwa kuishi na wanawake kwa akili and never trust a woman 100% except your mother !!!!!
 
Akili zao wanawake wanazijua wenyewe aiseeee. ..hawana shukrani hao , upo hospitali tena umelazwa umetundikwa dripu yeye anakuomba pesa ya matumizi.
 
demu wa 18yrs unamuita mwanamke?
.
.
Kwahiyo ina maana matatizo yote kwenye mapenzi ni mwanamke anasababisha?
.
.
Nina wasiwasi hata mama zenu hamuwaamini. Hata baba zenu hawaamini mama zenu.
.
.
Wanaume muanze kuoana nyie kwa nyie. Kutwa kuanzisha mahusiano na watu mnaojua fika hawaaminiki.
Aisee, hayo maneno ya mwisho makali sana, wakati mwingine usipate stress na mada za namna hii. Pengine umri wake unamruhusu kuandika haya. NB:- Hakuna mwanaume asiyemwamini mama yake labda awe mvulana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom