Mwanamke haaminiki

Mwanamke haaminiki

Mkuu ulichosema ni kweli hakuna mwanaume wala mwanamke kikubwa ni wewe tuu. mm nakwambia bora usalitiwe na watu wa jinsia nyingine kuliko jinsia yako.
Mmmmh bado km sijakuelewa,

Nibora usalitiwe na watu wa jinsia nyingine kuliko wa jinsia yko;!!!! Kivipi mkuu umeniacha kdg
 
Mmmmh bado km sijakuelewa,

Nibora usalitiwe na watu wa jinsia nyingine kuliko wa jinsia yko;!!!! Kivipi mkuu umeniacha kdg
Mimi ni mwanaume hivyo basi ni bora usalitiwe mara 1000 na mwanamke kuliko mwanaume mwenzio.
Hapo utanielewa sasa.
 

Kuna mdingi mmoja alinihusia maneno haya;
"do not beleave any women, especially naked"
Niliyapuuzia haya maneno, lakini kwa sasa nayaamni 100%
 
Habari wadau wa mambo yetu pendwa.
Natumai wazima kabisa.

Bila kupoteza mda mda Nilikua na demu wa 18yrs nilimpenda sana na yeye alinipenda sana pia.
Tulidumu kwa miez kama miwili, tatizo la huyu mrembo alikua msiri sana, nilimuuliza yaliyokua yananimboa lakini kamwe hakuniambi hadi mimi kuchukua uamuz wa kumtema mara moja.

Huyu dogo aliwahi niambia hajawahi fanya mapenz kwa muda wa mwaka mmoja toka aachane na mpenzi wa awali. Hii ilinipa faraja sana kwani ni ngumu mwanamke kudumu kitambo chote hicho bila kunanihino.

Nilichokua kufahamu huyu mrembo alikua muongo yote alikua ananidanganya tuu.
Nilipomfuma basi ndo ukawa mwisho wa mahaba yetu.

Funzo nililopata kamwe usimuamini mwanamke kabisa hata akufanyie mema gani.
Ukitaka kujua namanisha nini soma kitabu cha mithali. Kuna mstari umeandikwa "Ishini na wake zenu kwa akili".

Kwa hayo maandiko nadiriki kusema wanawake wote ni wanafiki tuu hamna cha upendo wala nini.

Ndio hivyo hawaaminiki...ishi nao kwa akili sana masta

Wewe bado unawaamini... Hivi Samahani lakini wewe ni Mkristo au Muislam? Don't ever Trust a Woman na hata maandiko yamesema usimwamini ila Uishi nao Kwa Akili....

Jifunze kupitia Samson na Delila, Jifunze kupitia Adam na Hawa...

NEVER AND I REPEAT NEVER TRUST A WOMAN... HATA MAMA YAKO USIMWAMINI THE ONLY ONLY THING YOU COULD TRUST YOUR MOTHER NI KWA KUKUZAA TU THE REST DO NOT TRUST.

Kwa mtazamo wangu hata sisi wanaume hatuaminiki, fanya utafiti utagundua. Hili tatizo ni la pande zote, ila sisi ni wepesi sana kuwashambulia wenza wetu

Mwanamke Ni Msaliti Haswa Wala Usijiraumu Kabisaa Kwanza Angekuharibia Ndoto Zako

Trust no one!

Mwanamke wa kumuamini ni mmoja tu MAMA YAKO MZAZI OVA

Kuna mdau kasema hata mama yako usimwamini huku ni kuwadharau na kuwashushia heshima mama zetu, mama waliotulea kwa shida na raha umeumwa amehangaika na wewe ulimfanyia kia aina ya madhila na bado akakustahmilia leo msiwaamini mtakuja kupata lana bila kujijua

Next time tafta alieenda age kidogo 18 yrs bado akili za kitoto zinamsumbua

#bailly's

Hakuna mstari wa kitabu cha mithali unaosema " ishini na wake zenu kwa akili"... We pia inaelekea huaminiki hausemi ukweli

Yaani

Before pointing fingers kwa mtu jiulize na wewe uko neat?
 
Hata MAMA haaminiki kabisa na baba, usidanganyike ndugu yangu
Unajua mkuu watu ukifunguka live hapa wanakuona kama mgonjwa waakili ila kiukweli ni sahihi kabisa kwa asilimia 100%

Nimeishi uchagani mda mrefu nimepata visa vingi tuu vya hao wanawake wakitoa watoto wao kafara. Wengine hawakuhishia hapo wakaenda kwa wazazi wao na ndugu au watu wengine sasa utaniambiaje eti niamini mtu?
 
KIlikupata kitu gani mkuu? embu tupe mkasa wako.
Kuna m/mke tuliheshimiana kiasi kwamba siwezi kueleza nikamaliza hapa! Kifupi nilipokuja yumba kiuchumi siamini dharau nilizozipata kutoka kwa yule kipenzi changu cha rohoni! Sikutegemea na wala sijawahi kufikiria hivyo!
"do not beleave any woman, especially naked"
Ova
 
Mkuu naona una underrate sana watu humu. Wewe una hakika nimetembea na huyo demu peke yake? Unajua mangapi nimeyaona hadi kufikia hii hatua ya kudharau wanawake? na kwa taarifa yako tuu sio wanawake tuu bali hata wanaume wenzangu nao ni stupidy tuu.
Na pia naheshimu mwanamke zaid kidume mwenzangu kwa taarifa yako!


Huyu jamaa kuna kitu kinamsumbua tena kikubwa mno kama kuna wanaoweza kumsaidia Wamsaidie haki ya Mungu nimecheka hadi machozi hahahah
 
Hapa kutakuwa na mvurugiko mahali Fulani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom