Mbona tukija na ukweli tunaangukia pua tu.Kinachofanyika sio kwamba hatujui kwamba tunachezewa keusi na kekundu ni vile tu tunaona tunaweza kuwabadilisha tunasahau nyie watu ni kama nyama ya kota hata uipike vipi hai ivi.
Usijali kabisa hata mimi napenda kupunga upepo but in one condition gharama zote zitakuwa juu yangu, nina imani nikifanya hivyo uongo utauacha kwenye vijiwe vya kahawa.Kwa jinsi tu username yako ilivyo nzuri nahisi wewe ni zaidi ya mrembo.
Nahisi smile lako ni tamu kama strawberry.
Kama upo Dar naomba weekend hii twende bagamoyo tukapunge upepo!
Ipo hivi mkuu,sometimes huwa tunavutiwa na vitu vingi mfano rangi yako or body or usmart ulionao in physical appearance hali ya kuwa umeshajulikana ni muongo ila kuna kigezo kimoja kimekubeba lakini sio kwamba umepelekewa papuchi sababu ya uongo hapana, au vilevile unaweza usiwe na kigezo chochote chakunishawishi ila nikapenda pafyum yakoMbona tukisema uongo papuchi tunajikuta tunaletewa hadi nyumbani.


You are too ambitious. Kwani kila unalofanya lazima ufanikiwe? Jifunze kukubali matokeo na kutokata tamaa.Na ukienda umejikoki na ukweli utaambulia patupu.
Usijali kabisa hata mimi napenda kupunga upepo but in one condition gharama zote zitakuwa juu yangu, nina imani nikifanya hivyo uongo utauacha kwenye vijiwe vya kahawa.
Wanaoangukia pua vipi au huwa wanajing'atang'ataIpo hivi mkuu,sometimes huwa tunavutiwa na vitu vingi mfano rangi yako or body or usmart ulionao in physical appearance hali ya kuwa umeshajulikana ni muongo ila kuna kigezo kimoja kimekubeba lakini sio kwamba umepelekewa papuchi sababu ya uongo hapana, au vilevile unaweza usiwe na kigezo chochote chakunishawishi ila nikapenda pafyum yako![]()
![]()
![]()
![]()
Sipendi kuhudumiwa na girls wala kufanya nao cost sharing,napiga one man show tu





Safi sana mkuu maana wanadhani tukiwadanganya hatugharamii kumbe kuudumia muhimu![]()
![]()
Sipendi kuhudumiwa na girls wala kufanya nao cost sharing,napiga one man show tu
Siwez sema mna mwalim kipofiu moja kwa moja,just imagine jamaa dereva wa gari la serikali imeandikwa STK anaenda kumrubuni bint,na bint anaamini kisa lile gari even though anajua yule ni dereva tuMwalimu wetu ni kipofu.
Mkuu hapo utakuwa na kichaa sasa sio mke huyoreitakuwat: 20784409 said:sawa boss, hata akinifumania akiniuliza ni ww mme wangu?, namuambia hapana utakua ume wrong, half atajipindua ataona n ukweli.![]()
Hata mi yani for sure huwa nikimtongoza mwanamke nakuwa na huruma sana nae yani kiongoppq nashindwa coz namuona kama kiumbe daifu tena nikidanganye aise hapana bora aaninyime tuuKati ya vitu ambavyo siviwezi ni kusema uongo mimi naweka option zote on the table aamue mwenyewe
Kwa jinsi tu username yako ilivyo nzuri nahisi wewe ni zaidi ya mrembo.
Nahisi smile lako ni tamu kama strawberry.
Kama upo Dar naomba weekend hii twende bagamoyo tukapunge upepo!
Mkuu naona unachanganya mapenzi na siasa."Nitasema kweki daima, uwongo kwangu mwiko," ahadi ya mwana TANU.
Ukweli unaweka watu huru, heri kukataliwa kwa kusema kweli kuliko kukubaliwa kwa kudanganya. Mapenzi yenye msingi wa uongo siyo ya kweli na hayadumu.
Vv