Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Na kipi mkibaini ndio mnapoteawe danganya wenzako aliekwambia huwa hatujui tukidanganywa nani? Ni vile tu tunajitoa ufahamu ila tunajua vizuri kuchuja pumba na mchele![]()
Na kipi mkibaini ndio mnapoteawe danganya wenzako aliekwambia huwa hatujui tukidanganywa nani? Ni vile tu tunajitoa ufahamu ila tunajua vizuri kuchuja pumba na mchele![]()
Nitumie text kwa pm mpnz ney,yaan nko serious ujue![]()





Nakusubir mpenz
Tayari endelea kusoma ngoja nije
MKuu tatizo hawa wakuu wanadhani nimekurupuka kuleta huu uziIla kwa upande wa pili kiukweli wanawqke wengi hudanganywa na hujinasa kiulaini...ni marafiki xangu hata beer hawawezi kijinunulia ila nikiita demu namwambia ukweli hana mda na mimi ila wenzangu wakianza kumdanganya kilaini tuu anachikok mbaya zaidi mi ndie tena nagaramia anakukuja kugundua alipojikok kumbe sio
Huyo anakutisha wakati watu wanarudi humu jf kushukuru wamepata mke mwemaMkuu heading ya post ni kuhusu uongo,na nilichoongea hapo ni uongo![]()
![]()
Au wewe ushaona smile tamu kama strawberry??
Karibu JF

Mkuu we endelea tu itikadi zako hizo za kutumia nguvu kubwa kukubaliwaNijuavyo siasa ndio uongo lkn mapenzi ni ukweli na uaminifu. Lkn inategemea perception yako ktk mapenzi, chochote chenye msingi wa ukweli kinadumu lkn msingi wa uongo ni dhaifu.
Vv
Mkuu lazima tuwape wanachokipenda. (Uongo)Ooohhh Akikubali je! Awa viumbe wenyew si unasikia wanapenda uongo,anakuja jini chura chura!!! lazima usahau jinsia yako
Jamaa akachapa kiulaini kabisa mtoto mkali.yaaa bila uongo hupati kitu,kuna best yangu hapa chuo alpata mtt mkali,akamdanganya yupo NMB demu hakuamn kwa bahat hyo ,akamwambia mbaka nikuone unatoka ofisini kweli ndio tutafanya sex,,jamaa akamwambia nipo likizo fupi,demu akaingia lingi jamaa akala mtt mkali then bye bye
Atakataliwa huyo hadi atahisi ana nyota ya kinye*si* ya kunuka.na ukubari kukataliwa
yaaa bila uongo hupati kitu,kuna best yangu hapa chuo alpata mtt mkali,akamdanganya yupo NMB demu hakuamn kwa bahat hyo ,akamwambia mbaka nikuone unatoka ofisini kweli ndio tutafanya sex,,jamaa akamwambia nipo likizo fupi,demu akaingia lingi jamaa akala mtt mkali then bye bye
Hahahahaha una ninetralize.Ukihudumia wewe uongo unakuwa mwingi sana mpaka unajisahau, tofauti nikihudumia mimi
Umeona mkuu uongo muhimuWanawake wana akili za kutosha kutambua uongo wa maneno, wasichokitambua ni uongo wa matendo...kwamba ukimletea zawadi atajua ni yeye tu huwa unamletea, ukimkaza vizuri atajua ni yeye tu ndo huwa unamkaza vizuri nk. hizi ndo sound za kiutu uzima, ila maneno wanagundua kuwa unaongopa!
Sijaamini kupokea plasta ya mdomo ambayo hataki more talks.![]()
shukrani iyo vipii