Mwanamke bila kumdanganya hamna kitu

Mwanamke bila kumdanganya hamna kitu

Wanawake wana akili za kutosha kutambua uongo wa maneno, wasichokitambua ni uongo wa matendo...kwamba ukimletea zawadi atajua ni yeye tu huwa unamletea, ukimkaza vizuri atajua ni yeye tu ndo huwa unamkaza vizuri nk. hizi ndo sound za kiutu uzima, ila maneno wanagundua kuwa unaongopa!
 
Ila kwa upande wa pili kiukweli wanawqke wengi hudanganywa na hujinasa kiulaini...ni marafiki xangu hata beer hawawezi kijinunulia ila nikiita demu namwambia ukweli hana mda na mimi ila wenzangu wakianza kumdanganya kilaini tuu anachikok mbaya zaidi mi ndie tena nagaramia anakukuja kugundua alipojikok kumbe sio
MKuu tatizo hawa wakuu wanadhani nimekurupuka kuleta huu uzi
 
Mkuu heading ya post ni kuhusu uongo,na nilichoongea hapo ni uongo
Au wewe ushaona smile tamu kama strawberry??
Karibu JF
Huyo anakutisha wakati watu wanarudi humu jf kushukuru wamepata mke mwema
 
Nijuavyo siasa ndio uongo lkn mapenzi ni ukweli na uaminifu. Lkn inategemea perception yako ktk mapenzi, chochote chenye msingi wa ukweli kinadumu lkn msingi wa uongo ni dhaifu.

Vv
Mkuu we endelea tu itikadi zako hizo za kutumia nguvu kubwa kukubaliwa
 
yaaa bila uongo hupati kitu,kuna best yangu hapa chuo alpata mtt mkali,akamdanganya yupo NMB demu hakuamn kwa bahat hyo ,akamwambia mbaka nikuone unatoka ofisini kweli ndio tutafanya sex,,jamaa akamwambia nipo likizo fupi,demu akaingia lingi jamaa akala mtt mkali then bye bye
Jamaa akachapa kiulaini kabisa mtoto mkali.
 
yaaa bila uongo hupati kitu,kuna best yangu hapa chuo alpata mtt mkali,akamdanganya yupo NMB demu hakuamn kwa bahat hyo ,akamwambia mbaka nikuone unatoka ofisini kweli ndio tutafanya sex,,jamaa akamwambia nipo likizo fupi,demu akaingia lingi jamaa akala mtt mkali then bye bye

Uyo demu alikua naye ndondocha mkuu
 
Wanawake wana akili za kutosha kutambua uongo wa maneno, wasichokitambua ni uongo wa matendo...kwamba ukimletea zawadi atajua ni yeye tu huwa unamletea, ukimkaza vizuri atajua ni yeye tu ndo huwa unamkaza vizuri nk. hizi ndo sound za kiutu uzima, ila maneno wanagundua kuwa unaongopa!
Umeona mkuu uongo muhimu
 
Back
Top Bottom