My hair my crown
JF-Expert Member
- Feb 5, 2016
- 929
- 2,599
Aiseee.Acha tu mpendwa nikikuona nasahau password yangu... Nachoshukuru tu niliiandika kwenye diary.
Aiseee.Acha tu mpendwa nikikuona nasahau password yangu... Nachoshukuru tu niliiandika kwenye diary.
Sio kama unavyofikiria mkuu ...kamsome Sun Tzu na Art of war utanielewaNajua utakuwa umepokea vya uso vingi kuliko kukubaliwa
Hizo skills za kujua au kung'amua kuwa mnadanganywa ni kweli mnazo sana,lakini japo mnajua mnadanganywa still mnaelekea KIBLAwe danganya wenzako aliekwambia huwa hatujui tukidanganywa nani? Ni vile tu tunajitoa ufahamu ila tunajua vizuri kuchuja pumba na mchele![]()
Hiyo kwenye red ipo kwenye BANDO YA UWONGO,UWONGO SI MANENO TUSiku izi mbona kuna kutongozana tu?? Guess am getting too old
Kama umevutiwa na mtu unaanzisha ukaribu nae, dinner za uongo na kweli, vizawadi vya hapa na pale, kama kuna chemistry kati yenu mambo yatajipa tu
Ila kumbananisha mtu chemba kumpa mamistari mi kwangu naona kama utumwa tu, there are better ways of letting a girl know you are in for her!!
Ndio hivyo chief.....Ha ha ha mkuu hii assumption kali sana
Mkuu yupo kazini naona hapa anaweza asitoke patupu.Hapan bhn ebu kuwa mkwel tu
Mnakuja kujua tayari tushafumua zamani na wakati wa kusepa.hakuna mwanzoni tu.
Kama ilivyo demu inabidi umdanganye ili umgegede mwanaume yeye udhaifu wake upo kwenye kuona ndo maana wanawake wanaweka make up shida itakuja ukweli umejurikana na ile make up imeondolewa weee![]()
![]()

Kweli sana mkuu ila ukikurupuka na ukweliHizo skills za kujua au kung'amua kuwa mnadanganywa ni kweli mnazo sana,lakini japo mnajua mnadanganywa still mnaelekea KIBLA

Hahahahah "dinner za uwongo na kweli"Hiyo kwenye red ipo kwenye BANDO YA UWONGO,UWONGO SI MANENO TU
Hahahaha ujanja ujanja tuWewe mwenyewe Kichwa Kichafu lazima udanganye tu
Naona kuna wakuu bado hawajaona matunda yake.uongo mara nyingi ni mtamu
Huwa hawapend sana ukweliKweli sana mkuu ila ukikurupuka na ukweli![]()
![]()
![]()
Kinachofanyika sio kwamba hatujui kwamba tunachezewa keusi na kekundu ni vile tu tunaona tunaweza kuwabadilisha tunasahau nyie watu ni kama nyama ya kota hata uipike vipi hai ivi.Mnakuja kujua tayari tushafumua zamani na wakati wa kusepa.
Mwalimu wetu ni kipofu.Hizo skills za kujua au kung'amua kuwa mnadanganywa ni kweli mnazo sana,lakini japo mnajua mnadanganywa still mnaelekea KIBLA