Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Siku izi mbona kuna kutongozana tu?? Guess am getting too old
Kama umevutiwa na mtu unaanzisha ukaribu nae, dinner za uongo na kweli, vizawadi vya hapa na pale, kama kuna chemistry kati yenu mambo yatajipa tu
Ila kumbananisha mtu chemba kumpa mamistari mi kwangu naona kama utumwa tu, there are better ways of letting a girl know you are in for her!!
Yani umeongea cha maana kuliko kawaida.kuna marafiki zangu wawili wanaume nilishawapaga hayo mapini mpka sasa wameoana.
Aise hakuna mahusiano ninayoyapenda mwanzo wake kama haya aise!!
Nilibahatika kumpata mmoja halooooo kwa style hiyo,,mama yangu kuna vitu tulishawahi kuvifanya wakati tunaianza hiyo safari kwa style hiyo sitokuja kuvisahau kamwe I tell you
Kila nikivikumbuka nasisimkwa nabaki hoi kabisaaaaa,,sasa ndo nikutane na mtu anaanza kuniimbisha songi zake akati nazikumbuka hizo moments au nakuona kituko cha makumbusho.labda nikupende mwenyewe aise ndo nitaelewa
Kama kuna mwanamke alishawahi kufanyiwa
ataungana na mimi %jero aiseh.Baadhi ya wanaume acheni maneno aiseh..tumien hii njia mtakuja niambia kweli tena.maana wanawake wengi wang wanapenda sana hiyo kitu ingawa kuna wengine watasema ohoooo mimi hela tu...,mara sijui nini uongo mtupu..ukiona ang'ang'ania sana hela jua anataka lift ya kumsogeza kwenye maisha fulani hvi nae aonekane lkn nyuma ya pazia kuna mwanaume mwingine atakuwepo nae tu.
