Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

Tatizo linaanzia hapo kwenye kutumia hisia. Kuna mwanamke tangu siku ya kwanza kabisa unaona redflag ila unakomaa upige
Hapo ndipo wanapofeli unakuta kila ukimpanga anakupa sababu zisizo na kichwa wala miguu alafu still akiomba shida zake we unaendelea kumtatulia hapo tayari we ndio unashida. Kwenye Dunia ya Sasa ukiona kutumia nguvu kubwa kumpata mwanamke wejua huwezi kudumu kwenye hayo mahusiano
 
Kweli kabisa ke wabinafsi sana wanataka wahudumiwe tu bure bure. Wengine wanalalamika kabisa huwezi ukanihudumia bila kufanya tendo. Ukishaona hivyo ujue hapo unatumika
 
Kweli kabisa ke wabinafsi sana wanataka wahudumiwe tu bure bure. Wengine wanalalamika kabisa huwezi ukanihudumia bila kufanya tendo. Ukishaona hivyo ujue hapo unatumika
Kuna mmoja ikiwa bado sijafanya nae sex tukiwa tupo kwenye mahusiano akawa ananiambia siwezi kukupa mpaka unioe Sasa nikamwambia kwani wewe ni bikra akasema hapana nikamwambia kwanini unataka unipe mpaka nikikuoa mbona kwenye shida zako unaomba nikutatulie Je namimi nikisema kama unavyosema wewe nitakuwa ninakosea??? akawa anasema Mimi sipendi mapenzi na nimeokoka.Basi baadae nikamla tangu nimle mara nyingi yeye ndio akawa ananiomba game hivi viumbe vina shida sio kila jambo lao uliamini
 
Hakika!
Hata mm naweza kuandika msg ya kuomba pesa nikafuta nikaandika nikafuta tena jasho linajitoka! Aisee kuomba ni kipaji! Lkn Ndio hivyo akina Sisi n
 
Kwahiyo sio kwamba unatoa sababu inatoka moyoni, unatoa ili yeye aje akupe zaidi Sasa hayo ni mapenzi au biashara 🤔 Saint Anne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…