Christine_1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,861
- 43,776
🤣🤣🤣🙌khaaaKanusha kama sio chaguo lako
🤣🤣🤣🙌khaaaKanusha kama sio chaguo lako
Hilo lisikupe tabu na halina impact kwenye mapenzi yetu chimamHahaa
Maana nakuona humu kitambo
Unadhani kuoa ni kama kuachia ufyuzi eehMmeanza vizuri.Muoane sasa.
Kwa zama hizi imekuwa kawaida kabisa kupata chuma ulete hata hapa kwenye huu uzi wapo wanajisonyea tu huko nyuma ya keyboardKe chuma ulete aina hii ndiyo wengi 999% kwa 1% kwa zama hizi.
Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
Duh mkuu nipe basi connection niache kuomba hela si unaona ht Red black hataki mwanmke anaeomba pesa?🤣Acha uongo basi 🤣🤣🤣
Unataka niropoke hadharani?
Wapo wengi sana, including me🤪! Wala usiwaze kwamba jamaa ana micheps!Ila wanaume wasiochepuka wapo?
Kanusha na hapa anaona🤣🤣🤣🙌khaaa
alhamdulilah umetia maneno ya busara 😁Fungua chap huyo ndio chaguo lako utajutia sana kutokumpata mapema. All the best
Ndiyo maana hiyo taasisi tuachiwe wenye fikra chanya tu.Kufuga viumbe siyo mchezomchezo.Unadhani kuoa ni kama kuachia ufyuzi eeh
Wapo wa kwanza si huyo mumeo. Kila mwanaume kwa ke wake hachepukiIla wanaume wasiochepuka wapo?
Kuna haja ya Maxence Melo kuongeza hii emoj "😒"Wapo wengi sana, including me🤪! Wala usiwaze kwamba jamaa ana micheps!
Naona mnanishambuliaWapo wa kwanza si huyo mumeo. Kila mwanaume kwa ke wake hachepuki
Kaka huyo ni wako kanyooka kama rula kimaadili lakini.alhamdulilah umetia maneno ya busara 😁
Una mchepuko?Ndiyo maana hiyo taasisi tuachiwe wenye fikra chanya tu.Kufuga viumbe siyo mchezomchezo.
Hapana ni kweliNaona mnanishambulia
Ewaaa hayo ndo maishaYani wewe ni kama huyu haombi kuna siku nilimuuliza mbona huniombi hela. Akajibu sasa niombe yanini na unanipa siku usiponipa natumia akiba ya ulizowahi kunipa. Tunaishi maisha ya kawaida na she is very happy. Sio wengine kila siku wanataka kula kuku
Wa kazi gani?Bia ndiyo mchepuko wangu mpendwa.Una mchepuko?