Mwanamke anaridhishwa na nini?

Mwanamke anaridhishwa na nini?

Kila mwanaume anataka kuona mwanamke wake anaishi vizuri huku akiwa na utulivu na furaha muda wote bila
Kurubuniwa na wakware

Je nini humridhisha mwanamke ktk mahusiano?
Ili mke aridhike ni lazima.....
1. Umpende
2. Umsikilize
3. Umrairai/petipeti
4. Umlinde

Ajabu ni kwamba sex haipo kwenye mahitaji ya msingi ya mke...
Kila mwanaume anataka kuona mwanamke wake anaishi vizuri huku akiwa na utulivu na furaha muda wote bila
Kurubuniwa na wakware

Je nini humridhisha mwanamke ktk mahusiano?
 
Love and respect!

Mfanye rafiki kwanza!
Kisha mpenzi!
Muelewe kwa undani!
Mfurahishe kwa MANENO mazuri/ mazuri
Ridhika na jitihada ,zake. za kukufurahisha
Msifie,msaidie kazi ndogondo!
MPE maloveee
Ntarudi...
DJ ,
Pesa ni sehemu tuuu ya maisha
Hata wanawake wanaweza kutafuta!
Tena wanaume wakipata pesa na mapenzi yanapungua home, najuuuta jamaa yangu kipato kilipo ongezeka!

Kuwa na muda nae wakuchati kuongea,kupiga simu!
Mshirikishe baadhi ya mambo yako ya kimaendeleo!
Vizawadi vidogo vidogo
Some outing kidogo
Don't expect too much from her!
Muamini!.
Msamehe anapokosea!
Muelekeze kwa upole anapokosea
MPE heshima mbele za watu
.........,
..........maisha sanaaa kamwe haifi ,kuwa mbunifu usikariri mambo,asha,sio amina ,esta sio rose!
 
DJ ,
Pesa ni sehemu tuuu ya maisha
Hata wanawake wanaweza kutafuta!

Kuwa na muda nae wakuchati kuongea,kupiga simu!
Mshirikishe baadhi ya mambo yako ya kimaendeleo!
Vizawadi vidogo vidogo
Some outing kidogo
Don't expect too much from her!
Muamini!.
Msamehe anapokosea!
Muelekeze kwa upole anapokosea
MPE heshima mbele za watu
.........,
..........maisha sanaaa kamwe haifi ,kuwa mbunifu usikariri mambo,asha,sio amina ,esta sio rose!
Kutwa kwenye mitandao muda hata wakuongea na wenza wao hakuna , ingekuwa pesa basi masikini wasinge pata wapenzi, unaweza kuta mme ina pesa kibao lakini mke anahangaika mtaani pesa huja baadaye watu wasijidanganye
 
Tusibishane sana hapa mahusiano mengi yamevunjika sababu kukosekana kwa pesa hii ni kwa bongo sijui ulaya
 
Jamani tutofautishe kuridhika na Kuheshimiwa......Ila mimi ninavyohisi Wanawake hawaridhiki ila wanatuheshimu tu na kutufanyia staha na kuhurumiwa tu...Na sisi Huwa tunajidanganya tunawaridhisha kwa kila kitu...Hamna ni Heshima na Huruma tu ndiyo inatawala
mkuu wewe ndio umefunga mjadala,but mwanamke kuridhika kabisa akakinai na unavyomfanyia 95% si kweli ila huwa wana pretend tu wameridhika na sisi,
women are worlds satan.
 
Kutwa kwenye mitandao muda hata wakuongea na wenza wao hakuna , ingekuwa pesa basi masikini wasinge pata wapenzi, unaweza kuta mme ina pesa kibao lakini mke anahangaika mtaani pesa huja baadaye watu wasijidanganye
Yaani we acha!
Hata akija home yuko na simu!

Yuko online what's up, lakini msg zako read anda delivered hazikibiwi ,lakini yuko typing!

Akirudi home yuko na simu!
Hata kugegeda nooo romance,
........ni shidaaaaa!
Akiwa na mihela anawaza miradi na warembo tuu!
 
Yaani we acha!
Hata akija home yuko na simu!

Yuko online what's up, lakini msg zako read anda delivered hazikibiwi ,lakini yuko typing!

Akirudi home yuko na simu!
Hata kugegeda nooo romance,
........ni shidaaaaa!
Akiwa na mihela anawaza miradi na warembo tuu!
Hakuna hata kuinjoy na mme muda woote ni laptop zao unajiuliza huko kazini huwa unafanya nini kutwa upo huko masaa tu machache kukaa na mke huwezi ni afadhali hata wakijijini kuliko hawa wamjini shida tupu, sasa awe anajiendeleza kimasomo tujakomaje!
 
Simu zenyewe wanatembea nazo akiona vipi anazima akimaliza kama ni kula au kuoga anawasha wanaume wengibwatumwa kwenye simu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom