Hamna kitu kimoja kinachomridhisha mwanamke.
Huwezi kuwa na hela afu kutwa visa kwa mkeo ujidanganye hatakuacha.
Huwezi kumhudumia mkeo afu kitandani sifuri na ujidanganye she is happy.
Happiness and satisfaction to us is the sum of a number of factors which are emotional, financial and sexual.
Pia, huwezi kosa hela na ufeli chumbani aisee afu uwe full malavi davi ma romance. Hiyo equation haija balance aisee.
Ndo hapo mnaambiwaga mjiongeze mnamaindiiiii😛😛
"Kuridhika" ni suala pana saana mzee.Tendo la kuridhika siyo Permanent.....WANAWAKE NI WATU WA MOOD HISIA ZAKE ZIAWEZA KUMTUMA KWA MWANAMME MNENE NA WEWE ULIYENAE NI KIMBAUMBAU!....ASIPOKUHURUMIA NA KUKUHESHIMU( amelambwa)...
Hapana... mapenzi yana mambo mengi saana.Mapenzi na pesa na heshima
Kivipi?kujali hisia za mkeo
Weka findings hapaAtosheke na dudu basi
Mambo mengine ya maisha Je?Mapenzi mapenzi mapenzi
Una uhakika?pesa tuu!
Ngoja waje kuthibitishaMwanamke haridhiki! Hawaeleweki eleweki
Muulize wema sepetu hapooMapenzi yaweje
Yaani ndiyo hivyo!...Mungu ametuumbia Tamaa binadamu wote kwa Usawa sasa kuihimili ni wewe muhusika na skills zako za kuishinda tamaa ili uridhike!!..."Kuridhika" ni suala pana saana mzee.
Unaweza ukaridhika na Nyumba ila usiridhike na samani zilizopo au na sewage system au bulb au hata crack za nyumba.
Utakuwa unafikiUkitaka mwanamke akupende=mpe pesa
Ukitaka aridhike=msifu kwa kila kitu ata kama ni upuuzi
Unawaelewaje?Na ukiwaelewa basi wewe wanawake wote Duniani wako..
Sawa lakini kwenye mapenzi hayohayo kuna kitu kinaitwa upendoHapana... mapenzi yana mambo mengi saana.
pesa na heshima ni mojawapo.
Kama utaki jiandae kwa mengineUtakuwa unafiki
Why watuonee huruma?Jamani tutofautishe kuridhika na Kuheshimiwa......Ila mimi ninavyohisi Wanawake hawaridhiki ila wanatuheshimu tu na kutufanyia staha na kuhurumiwa tu...Na sisi Huwa tunajidanganya tunawaridhisha kwa kila kitu...Hamna ni Heshima na Huruma tu ndiyo inatawala