Hapana. Kupata full set ni bahati na ndo maana kuna kuvumiliana.Natamani kujua maana ya kuridhika inayozungumzika hapa.
Tusizungumzie kwa mwanamke tu bali hata kwa mwanaume..
Kuridhika ni furaha katika mahusiano! Je siku akikukerwa ni moment zote hiyo furaha itakwepo!.
Ok, factors zipo nyingi financial,kitandani,emotion n.k. ni kweli kuna mwanamke/mwanaume anayetimiziwa the full package.
Au aliye na changamoto chache ndiye ataridhika na aliye na nyingi hata ridhika?
Umeshaoa au unaandika utopian thinking?Baada ya kushaoa chagua lako sahihi,fanya hili ---- Mpe mashine yamaana ..yaaan piga mashine ..piga mashine ,sugua kila kona!.
Hatokaaaa kuruka !! ..... Alafu mjali tena jali mambo yakawaida ila jua namna yakumjali.
Shida inakuja pale mnapoamin kumpa mwanamke pesa umemaliza au kusukuma ndani nje umemaliza mweeee !!.
Kuwa muwazi sana kwa mwanamke haiwezekani1.kujari
2.kujiamini
3.kuwa na uwezo kitandani
4.kuwa muwazi
5.mawasiliano ya Mara kwa Mara
Ukitimiza yote haya ,women will love you
Mshadekezwa sana na kuthaminiwa lakni mwisho wa siku utasikia hamtukojoziUpendooo na kuthaminiwa kudekezwaaa
Mkuu watashuhudia wenyeweWeka findings hapa
Mko very complicated. Hamtabiriki kabisaHamna kitu kimoja kinachomridhisha mwanamke.
Huwezi kuwa na hela afu kutwa visa kwa mkeo ujidanganye hatakuacha.
Huwezi kumhudumia mkeo afu kitandani sifuri na ujidanganye she is happy.
Happiness and satisfaction to us is the sum of a number of factors which are emotional, financial and sexual.
Pia, huwezi kosa hela na ufeli chumbani aisee afu uwe full malavi davi ma romance. Hiyo equation haija balance aisee.
Ndo hapo mnaambiwaga mjiongeze mnamaindiiiii😛😛
Li-nuru lenyewe linaridhishwa na mahela tu.....nyambafu kabisa nuru shithole mkubwa wewe.

Unauliza jambo ambalo lipo wazi!?...Huruma inaletwa na wewe Mwanaume akikuona Unavyochacharika kumfanya awe na wewe Njia moja lkn anajua kabisa Hakuna kitu unafanya isipokuwa hewa tu.....anaamua kukuheshimu kwa juhudi zako tu lkn humridhishi kwa kitu chochote!Why watuonee huruma?
My only question is...Sawa lakini kwenye mapenzi hayohayo kuna kitu kinaitwa upendo
Mtatuua jamani. KhaMapenzi na pesa na heshima
Cha mdeko kwenye ubora wakoUpendooo na kuthaminiwa kudekezwaaa
Sijaoa ila sababu mimi ni mwanamme .Umeshaoa au unaandika utopian thinking?
Nimekuelewa sana mapenzi yana vitu vingi mnooo tukianza kuchambua kila kitu hapa hatutamaliza baba angu halaf nakujua sana kwa kujenga hoja acha nilalale mtoto wako heinken zipo kichwani sio akili yangu tutaonana keshoMy only question is...
Je, ni kweli wewe shunie unaweza kuridhishwa na mwanaume katika maisha kwa kupata hivyo ulivyovitaja tu? Pesa, upendo na heshima?
maisha ya mapenzi yana mengi vingine ni vidogo vidogo ila utaviona havina maana... na vitakufanya uwe mwanamke usiyeridhika.
ndugu zake,muonekano wake, elimu yake, anavyokula, anavyowatreat ndugu zako na jamaa zako,ongea yake,kazi yake, na mengine madogo madogo ila yanamchango katika kuridhika kwako katika maisha.

Haufi mkuu ila cha moto mnakionaMtatuua jamani. Kha
Napenda kudeka si unajua mdogo wako kwa kudeka natishaaaaCha mdeko kwenye ubora wako
Too much is harmfulNapenda kudeka si unajua mdogo wako kwa kudeka natishaaaa
Hapana mm lazima nikufundishe kunikojozaa lakin kudekezwa ndo napenda zaidMshadekezwa sana na kuthaminiwa lakni mwisho wa siku utasikia hamtukojozi