Mwanamke anaridhishwa na nini?

Mwanamke anaridhishwa na nini?

Jamani tutofautishe kuridhika na Kuheshimiwa......Ila mimi ninavyohisi Wanawake hawaridhiki ila wanatuheshimu tu na kutufanyia staha na kuhurumiwa tu...Na sisi Huwa tunajidanganya tunawaridhisha kwa kila kitu...Hamna ni Heshima na Huruma tu ndiyo inatawala
 
Kila mwanaume anataka kuona mwanamke wake anaishi vizuri huku akiwa na utulivu na furaha muda wote bila
Kurubuniwa na wakware

Je nini humridhisha mwanamke ktk mahusiano?
kwa uelewa wangu sio mwanamke tu bali binadamu yeyote kiasili haridhiki hadi aamue kuridhika mwenyewe.

kuridhika si ndiko kutokuwa na uhitaji wa kitu kile kile ulichonacho/unachokipata?

Tunapambana kupata tusivyo navyo tukishavipata na tukawa na uhakika wa kuvipata tunatafuta vingine.
 
Love and respect!

Mfanye rafiki kwanza!
Kisha mpenzi!
Muelewe kwa undani!
Mfurahishe kwa MANENO mazuri/ mazuri
Ridhika na jitihada ,zake. za kukufurahisha
Msifie,msaidie kazi ndogondo!
MPE maloveee
Ntarudi...
Umeeleza vizuri vp hela
 
kwa uelewa wangu sio mwanamke tu bali binadamu yeyote kiasili haridhiki hadi aamue kuridhika mwenyewe.

kuridhika si ndiko kutokuwa na uhitaji wa kitu kile kile ulichonacho/unachokipata?

Tunapambana kupata tusivyo navyo tukishavipata na tukawa na uhakika wa kubipata tunatafuta vingine.
Sawa mkuu nimekuelewa
Ina maana mwanamke hawezi ridhika hadi atake yeye! Ktk ndoa
 
Baada ya kushaoa chagua lako sahihi ,fanya hili ---- Mpe mashine yamaana ..yaaan piga mashine ..piga mashine ,sugua kila kona!.

Hatokaaaa kuruka !! ..... Alafu mjali tena jali mambo yakawaida ila jua namna yakumjali.

Shida inakuja pale mnapoamin kumpa mwanamke pesa umemaliza au kusukuma ndani nje umemaliza mweeee !!.
 
1.kujari
2.kujiamini
3.kuwa na uwezo kitandani
4.kuwa muwazi
5.mawasiliano ya Mara kwa Mara


Ukitimiza yote haya ,women will love you
 
Sawa mkuu nimekuelewa
Ina maana mwanamke hawezi ridhika hadi atake yeye! Ktk ndoa
Kuridhika ni kutokuhitaji vilivyo nje yako.

Je ni kweli kuna mwanamke/mwanaume asiyetamani hata lepe lililonje ya alivyo navyo au anavyovipata?

Kule kutamani tu tayari ni kutokuridhika na ulichonacho.

Sasa ambaye ataweza kutamani asikitafute alichotamani huyu ameamua akilini kuridhika kwa namna hiyo.[ni wachache wenye kuweza hili ndiyo maana ndoa zimejaa uchepukaji]
 
Hamna kitu kimoja kinachomridhisha mwanamke.

Huwezi kuwa na hela afu kutwa visa kwa mkeo ujidanganye hatakuacha.

Huwezi kumhudumia mkeo afu kitandani sifuri na ujidanganye she is happy.

Happiness and satisfaction to us is the sum of a number of factors which are emotional, financial and sexual.

Pia, huwezi kosa hela na ufeli chumbani aisee afu uwe full malavi davi ma romance. Hiyo equation haija balance aisee.

Ndo hapo mnaambiwaga mjiongeze mnamaindiiiii😛😛
 
Kuridhika ni kutokuhitaji vilivyo nje yako.

Je ni kweli kuna mwanamke/mwanaume asiyetamani hata lepe lililonje ya alivyo navyo au anavyovipata?

Kule kutamani tu tayari ni kutokuridhika na ulichonacho.

Sasa ambaye ataweza kutamani asikitafute alichotamani huyu ameamua akilini kuridhika kwa namna hiyo.[ni wachache wenye kuweza hili ndiyo maana ndoa zimejaa uchepukaji]
Swadakta ila nasikia kama hafiki kileleni ina kuwa ngumu sana kumridhisha
 
Love and respect!

Mfanye rafiki kwanza!
Kisha mpenzi!
Muelewe kwa undani!
Mfurahishe kwa MANENO mazuri/ mazuri
Ridhika na jitihada ,zake. za kukufurahisha
Msifie,msaidie kazi ndogondo!
MPE maloveee
Ntarudi...
Mkuu kazi nyingine zitafanyika kweli? Au viwanda vimehairishwa kujengwa
 
kwa uelewa wangu sio mwanamke tu bali binadamu yeyote kiasili haridhiki hadi aamue kuridhika mwenyewe.

kuridhika si ndiko kutokuwa na uhitaji wa kitu kile kile ulichonacho/unachokipata?

Tunapambana kupata tusivyo navyo tukishavipata na tukawa na uhakika wa kuvipata tunatafuta vingine.
Tendo la kuridhika siyo Permanent.....WANAWAKE NI WATU WA MOOD HISIA ZAKE ZIAWEZA KUMTUMA KWA MWANAMME MNENE NA WEWE ULIYENAE NI KIMBAUMBAU!....ASIPOKUHURUMIA NA KUKUHESHIMU( amelambwa)...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom