Jiwedogo
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 2,811
- 4,099
Kwani kumridhisha mwanamke ni kumfanyaje...Kama halizishwi hizo hizo hela wanatafutwa wanaojua kumridhisha
Ebu tuanzie hapo labda tutaelewana polepole
Kwani kumridhisha mwanamke ni kumfanyaje...Kama halizishwi hizo hizo hela wanatafutwa wanaojua kumridhisha
Ndiyo maana kabla ya ndoa huwa kuna mafundisho jinsi ya kuishi namke si kuchanganya mahindi na maharagwe = kandeKwani kumridhisha mwanamke ni kumfanyaje...![]()
![]()
![]()
Ebu tuanzie hapo labda tutaelewana polepole
Tena mno ndiyo wahanga wa kwanzamwanamke haridhishwi na chchte kile....ingewa ni hela basi masikini ndo tungesalitiwa tu bali hata matajiri usaliti wanaupata
Hoja yako imetoa jawabu maridhawa kabisa dhidi ya hoja ya mleta uziJamani tutofautishe kuridhika na Kuheshimiwa......Ila mimi ninavyohisi Wanawake hawaridhiki ila wanatuheshimu tu na kutufanyia staha na kuhurumiwa tu...Na sisi Huwa tunajidanganya tunawaridhisha kwa kila kitu...Hamna ni Heshima na Huruma tu ndiyo inatawala
Hakuna mafundisho yanayo itwa JINSI YA KUISHI NA MWANAMKE.Ndiyo maana kabla ya ndoa huwa kuna mafundisho jinsi ya kuishi namke si kuchanganya mahindi na maharagwe = kande
Exactly mkuukwa uelewa wangu sio mwanamke tu bali binadamu yeyote kiasili haridhiki hadi aamue kuridhika mwenyewe.
kuridhika si ndiko kutokuwa na uhitaji wa kitu kile kile ulichonacho/unachokipata?
Tunapambana kupata tusivyo navyo tukishavipata na tukawa na uhakika wa kuvipata tunatafuta vingine.
Asante na kwako piaNdio upate wa kukukojoza sasa mshipa usiku mwema
Aah wapi mbona wengi tu wanahela lakini wanasaka mikojo njeWanawake wanaridhishwa na pesa tu!
Hapo kwenye mawigi na kucha bandia wanawake huwaona viumbe wa ajabu sanaMwanamke haridhiki! Ana nywele anaweka wigi! Anakucha anaweka za bandia
And if truly upo hivi....i love u with 0.00% VATHapana. Kupata full set ni bahati na ndo maana kuna kuvumiliana.
Ngoja nikuambie from my perspective as a woman. If I have a man I love, hana hela but ananiheshimu na kunijali I am content with the little he brings to the table.
On the other hand, if I have a man who is loaded but takes me for granted.... doesn't try to connect with me emotionally, I am doomed and we won't last because I would feel unwanted.
Again, if a man humps the stars out of me.... and that is just about it, no love and doesn't provide for me.....its again a NO for me.
It may seem complicated but its very very simple.

Hili nimelipruv mwenyewe kuwa mwisho wa siku naonekana muongoKuwa muwazi sana kwa mwanamke haiwezekani
Mkuu kibano tenamwanamke aridhiki nachochote utakacho mfanyia labda kibano pekee ndio ataridhika nacho ila kingine atataka kikubwa chake.
Kila mwanaume anataka kuona mwanamke wake anaishi vizuri huku akiwa na utulivu na furaha muda wote bila
Kurubuniwa na wakware
Je nini humridhisha mwanamke ktk mahusiano?
Nimemcheka jamaa alivyosema kwa kujiaminJje umecheka mi kuitwa ke!
Ha ha sawa kabisa nimeipenda hii. Kama ingekuwa mafundisho ya jinsi ya kuishi na mwanamke shule zisingetosha,m mwanamke yupi ,wachaga,nyakyusa,warangi,ndendeule n.kHakuna mafundisho yanayo itwa JINSI YA KUISHI NA MWANAMKE.
Bali kuna MAFUNDISHO YA NDOA.
Ukipitia mafundisho ya ndoa ndipo utajifunza hitaji la msingi la MKE na hitaji la msingi la MUME kwenye ndoa