Mwanamke anaridhishwa na nini?

Mwanamke anaridhishwa na nini?

Kwani kumridhisha mwanamke ni kumfanyaje...
Ebu tuanzie hapo labda tutaelewana polepole
Ndiyo maana kabla ya ndoa huwa kuna mafundisho jinsi ya kuishi namke si kuchanganya mahindi na maharagwe = kande
 
Jamani tutofautishe kuridhika na Kuheshimiwa......Ila mimi ninavyohisi Wanawake hawaridhiki ila wanatuheshimu tu na kutufanyia staha na kuhurumiwa tu...Na sisi Huwa tunajidanganya tunawaridhisha kwa kila kitu...Hamna ni Heshima na Huruma tu ndiyo inatawala
Hoja yako imetoa jawabu maridhawa kabisa dhidi ya hoja ya mleta uzi
 
Ndiyo maana kabla ya ndoa huwa kuna mafundisho jinsi ya kuishi namke si kuchanganya mahindi na maharagwe = kande
Hakuna mafundisho yanayo itwa JINSI YA KUISHI NA MWANAMKE.
Bali kuna MAFUNDISHO YA NDOA.

Ukipitia mafundisho ya ndoa ndipo utajifunza hitaji la msingi la MKE na hitaji la msingi la MUME kwenye ndoa
 
kwa uelewa wangu sio mwanamke tu bali binadamu yeyote kiasili haridhiki hadi aamue kuridhika mwenyewe.

kuridhika si ndiko kutokuwa na uhitaji wa kitu kile kile ulichonacho/unachokipata?

Tunapambana kupata tusivyo navyo tukishavipata na tukawa na uhakika wa kuvipata tunatafuta vingine.
Exactly mkuu
 
Hapa naona watu wanachanganya hitaji la MWILI na hitaji la MKE....
Ebu msichanganye mafuta na maji please.....
 
Hapana. Kupata full set ni bahati na ndo maana kuna kuvumiliana.

Ngoja nikuambie from my perspective as a woman. If I have a man I love, hana hela but ananiheshimu na kunijali I am content with the little he brings to the table.

On the other hand, if I have a man who is loaded but takes me for granted.... doesn't try to connect with me emotionally, I am doomed and we won't last because I would feel unwanted.

Again, if a man humps the stars out of me.... and that is just about it, no love and doesn't provide for me.....its again a NO for me.

It may seem complicated but its very very simple.
And if truly upo hivi....i love u with 0.00% VAT
 
Mwanamke anaridhishwa na uongo unaofanana na ukweli machoni mwake + pesa ya kukidhi hadhi yake au Ku fit level yake na kusogelea ya juu yake kidogo + mahaba na dushe la ukweli kitandani kama unakibamia chua na mafuta ya tembo, mboo itanenepa na kuongezeka urefu hivyo kumkuna vizuri zaidi na kukojoa mpaka basi wakati wa sex hivyo kuridhika na wewe na kukusikilza zaida ww mume kulko hata wazaz wake!
 
Hakuna mafundisho yanayo itwa JINSI YA KUISHI NA MWANAMKE.
Bali kuna MAFUNDISHO YA NDOA.

Ukipitia mafundisho ya ndoa ndipo utajifunza hitaji la msingi la MKE na hitaji la msingi la MUME kwenye ndoa
Ha ha sawa kabisa nimeipenda hii. Kama ingekuwa mafundisho ya jinsi ya kuishi na mwanamke shule zisingetosha,m mwanamke yupi ,wachaga,nyakyusa,warangi,ndendeule n.k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom