Wanawake mnalizishwa na pesa hili nimeliona hapa JFHela is life wewe
Wanawake mnalizishwa na pesa hili nimeliona hapa JFHela is life wewe
mapenzi ya namna gani sasaMapenzi mapenzi mapenzi
Wako mabilionea na bado wanapigiwa na wasio nazo.
basi hamna namna moja ya kumridhisha mwanamke.......kikubwa ni ye mwenyewe tu akiamua kuridhika!!Huo ndo ukweli![]()
![]()
basi hamna namna moja ya kumridhisha mwanamke.......kikubwa ni ye mwenyewe tu akiamua kuridhika!!
Nikweli mkuu....Ha ha sawa kabisa nimeipenda hii. Kama ingekuwa mafundisho ya jinsi ya kuishi na mwanamke shule zisingetosha,m mwanamke yupi ,wachaga,nyakyusa,warangi,ndendeule n.k
PESA tu...ndio wanapenda....Kila mwanaume anataka kuona mwanamke wake anaishi vizuri huku akiwa na utulivu na furaha muda wote bila
Kurubuniwa na wakware
Je nini humridhisha mwanamke ktk mahusiano?
Kila mwanaume anataka kuona mwanamke wake anaishi vizuri huku akiwa na utulivu na furaha muda wote bila
Kurubuniwa na wakware
Je nini humridhisha mwanamke ktk mahusiano?
hapo sasaSasa kama wewe mwanamke umeshindwa kujua sisi tutajuaje..rubbish kabisa
Pesa hupendi!????Binafsi napenda Mwanaume anipende kwa dhati, anijali, aniheshimu na kunithamini.