Vincenzo Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 12,168
- 25,479
Nipo fresh mtaniHellow mtanii, uko poaa??
Nipo fresh mtaniHellow mtanii, uko poaa??
We nae akili yako nzito kuelewa.. papai moja weye.. huyo mwanamke kuna mtu anamlia pesa zake kisha anamtafuta jobles kama huyo rafiki yakoKuna bidada anamaokoto kama yote, bidada mu heiress, halafu hana makuu dada wa watu, ana mipaja kama yote, mtako ule wa kumimina ukamiminika wa kuonekana kutoka mbele kama wa muhabeshi, halafu bidada kamng'ang'ania mchizi wa kawaida tu, halafu mchizi hata hamuelewi.
Yani hiyo case imenifanya nione theory yako haija fit na data.
Sio wote lakini baadae wengine hubadilika!!Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi.
kama uamini, poteza kipato uje utoe ushuhuda hapa jukwaani.
Kama huna kipato au ramani zako hazisomeki, atakuvumilia kwa muda tu, baadaye anakutelekeza.
Kwa kifupi, hakuna mwanaume anayependwa bila kuwa na kipato.
We jamaa!huwa hawatoi,ukiona wanatoa Hela ujue wanarahisisha uhitaji wao ukamilike haraka sana!wakishapata tu wanaanzisha ubinafsi!!Haya ndio yalimfanya rafiki yangu chinga aka chagamba kuomba afu tatu kutoka kwa yule Binti wa mwanza kweli asio kupenda achana nae skuizi naishia ku like tu 😂😁
Umerahisisha sana bila hata kumjua huyo mtu.We nae akili yako nzito kuelewa.. papai moja weye.. huyo mwanamke kuna mtu anamlia pesa zake kisha anamtafuta jobles kama huyo rafiki yako
Nadhani watakuelewa, baadhi ya wanaume wanafikiri wanapendewa shoooUko sahihi mkuu.
😂Shauri yaoNadhani watakuelewa, baadhi ya wanaume wanafikiri wanapendewa shooo
Rose,Asha,Mwanaidi,Rebeka....Kama nani aliolewa na kapuku?
Hamas vs IdfUtaiweza hiyo vita ulioianzisha?
Ni hatariHamas vs Idf
Of course mapenzi huwa yana ambatana na pesa kidogo.. ushahidi wa ilo kwenye vitabu vitakatifu tunafahamishwa kuwa ili uwe tayari kuwa na mwenzako inatakiwa uwe na uwezo wa kumtoshereza ilo la kwanza lakini pia tumeshauliwa kuwa na wanawake wenye Dini ndani Yao hiyo itatusaidia katika zile nyakati ngumu ambazo mwanamke wa wavuvi Kempu anachilimba ndukiMwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi.
kama uamini, poteza kipato uje utoe ushuhuda hapa jukwaani.
Kama huna kipato au ramani zako hazisomeki, atakuvumilia kwa muda tu, baadaye anakutelekeza.
Kwa kifupi, hakuna mwanaume anayependwa bila kuwa na kipato.
Mkuu nitumie hivo vi katuni vinavo cheza hapo mwisho wa Uzi
Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi.
kama uamini, poteza kipato uje utoe ushuhuda hapa jukwaani.
Kama huna kipato au ramani zako hazisomeki, atakuvumilia kwa muda tu, baadaye anakutelekeza.
Kwa kifupi, hakuna mwanaume anayependwa bila kuwa na kipato.
Kwa nyakati hizi, naona ni wote tu wanataka maisha mazuriHasa dada zao kina mekuu.