Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 1,813
- 4,921
- Thread starter
- #241
😂😂😂😂 DaahHiyo mboga flan maarufu sana nyanda za juu kusin magharib hasa hasa Iringa. Hiyo mboga ni chungu balaa hata ipikwe na sukari
😂😂😂😂 DaahHiyo mboga flan maarufu sana nyanda za juu kusin magharib hasa hasa Iringa. Hiyo mboga ni chungu balaa hata ipikwe na sukari
Huyo alisimama kama mama halisi na mke bora kwa baba yenu. Mambo hubadilika, ila aliamua kusimamia nafasi yake. Hongera kwakeNakumbuka baba yangu alisimamishwa kazi kipindi niko form two.Mama yangu alisimamia show zote.Japo na yeye alifanya vibaya kwa kutupa mahitaji yeye na sio Baba kama awali.
Ni kiri baba alipata mke mzuri mwenye heshima,Nilishuhudia baba akipewa pesa aende bar akanywena rafiki zake.
Wanawake wa siku hizi hawana maana,hata wangu nilienae namuangalia tu kuna kipindi mambo yangu yaliyumba nikaona vidharau flan hivi.
😂😂😂!!1: Mwanamke hapendwi
2: Mwanamke haonewi huruma
3: Mwanamke hawezeshwi
4: Mwanamke ni chombo cha starehe kikishindwa kukupa starehe una achana nacho unavuta kingine
Bro mm nilikua na huruma nikaonwa fala.....sinaga huruma tena1: Mwanamke hapendwi
2: Mwanamke haonewi huruma
3: Mwanamke hawezeshwi
4: Mwanamke ni chombo cha starehe kikishindwa kukupa starehe una achana nacho unavuta kingine
Yaani nilipoa anza kusoma hapa, moyo ukalipuka paa kwa furaha as if ni mimi sasa 😂. Hongera sana mkuu.Nilikuja kupata kazi kampuni nyingine kwenye Mradi wa Bwawa la Rufiji. Nilijiapiza kupiga kazi kwa uchungu sana. Nimefanya kwa takriban
Nice guys ni wale hawana msimamo, kila anachokisema mwanamke watafanyaNimetuma nauli 60,000 kapokea afu kadai....mama kamkataza kutoka.
Nimemjibu......asante....!!!!!
Nikafuta namba....!!!!
😂🤣🤣🤣🤣🤣 wanawake ukiwa nice guy wanakuchukulia poa
Asante sana mkuu. Life linasonga namshukuru MunguYaani nilipoa anza kusoma hapa, moyo ukalipuka paa kwa furaha as if ni mimi sasa 😂. Hongera sana mkuu.
Mipango ya Mungu si ya binadamu na mimi naamini kabisa huyo hakua mke wako kwa namna yoyote ile.
Huwa namweleza mke wangu pia, no matter tumeishi miaka mingapi pamoja, kama haikupangwa na Mungu tuwe wote tutaachana tu ili kila mmoja aje kupita kwenye njia aliyo andikiwa.
Hongera sana kwa mara nyingine
Imeisha hiyo mkuu. Haiwezekani aiseePole sana mkuu ndio ukomavu huo somo umelipata, usithubutu kurudi nyuma katu ata kupasha kiporo
Hakakutafuta? Mtoto vipi nani anamlea?Imeisha hiyo mkuu. Haiwezekani aisee
We unataka sifa ukweni?Wanaume mnapataje huu ujasiri wa Kwenda Ukweni kukopwa mahali? Hapa Ndio wanawake wana wadharau bila nyinyi kujua.
Ni kheti umchukue hivyo hivyo bila mahali kuliko kumchukua kwa nusu bei.
Afu mi umenikazia To yeyeI wanna marry you❤️
To yeye Si huyu mtoa mada Jobless_Billionaire kaja na technique ya kutia tia huruma anataka anipiku... kwanza alipie tangazo subiri nimchongee kwa max melo.Nishasahau hata ni nani nilimwandikia hivo mkuu
😂😂😂 DaaahTo yeye Si huyu mtoa mada Jobless_Billionaire kaja na technique ya kutia tia huruma anataka anipiku... kwanza alipie tangazo subiri nimchongee kwa max melo.
🤣🤣🤣kumbeTo yeye Si huyu mtoa mada Jobless_Billionaire kaja na technique ya kutia tia huruma anataka anipiku... kwanza alipie tangazo subiri nimchongee kwa max melo.