- Thread starter
- #81
Una hamu ya kuPMiwa tu, huna lolote. Mimi nimekunywa pombe za kutosha na sijawahi kuharibu nikiwa nimelewa. Usichanganye mtu kutake advantange ya mwanamke kupoteza uwezo wa kureason under the influence na kukubali kugegedwa kwa matashi yake.
Wewe unasubiri umleweshe mwanamke pombe ndio kumDO lazima una matatizo makubwa; kwamba mwanamke akiwa sober hawezi kukubali kuwa na wewe au?
Dada ni research....soma vizuri inatakiwa tuje na majibu baada ya......