Mwanamke akishakunywa pombe ...mabeki hakuna.

Mwanamke akishakunywa pombe ...mabeki hakuna.

hivi mi nilivyolewa siku ile niliondoka na nani vile??? mzima wewe watu8?

mie mzima mpendwa...ujue nimekumiss sana dear!
mmh siku ile sijui nani alikunyakua maana ulipotea ghafla.
 
Last edited by a moderator:
Nipo na warembo wawili wa mmu hapa samaki mlimani city wanakula kilaji,ngoja nione huu utafiti kama ni kweli
 
utakuta paloma mwenyeji wa kaskazini ...mabinti wa pande zile anaweza kunywa hata kreti ya safari bado yuko mkavu kuna jamaa yangu ashawahi kuiabika....kachukua demu amzime mwisho wa siku kazime yeye .....mtoto yuko ngangari jamaa ndiyo anakokotwa

Ni kweli wanawake wa mikoa ya kaskazini wana uwezo mkubwa sana wa kuhifadhi pombe...huwa nikienda kwenye mikutano pande hizo wale wazee wenzangu waliozzoea kununua bia Tatu ya nne chumbani wanaumbuka sana........
Mademu wa Huko ukitegemea Alewe ndio übebe utabebwa wewe......na hawachagui pombe mchana wanaanza na bia ,wine jioni,nyama,shots...za cocktails etc...hadi alfajiri ananaenda kwake anakuacha umelala juu ya kiti.........na hangover.....ni wasichana ambao Kama unamtaka huhutaji kumnywea pombe..Bali mpe live..
Na vijana wa kule anaweza kukuta mtu anakunywa na girls wake yeye Hana neno anakaa pembeni naye anakunywa....mida mibayaa Anachukua demu anaondoka wanakuacha....
DAR ndio naona wanawake wengi hawaziwezi kabisa pombe.....ukimpatia wine chupa haiishi.

Binafsi napenda mwanamke ajitambue..asizidishe kiwango cha pombe kinachomuweka hatarin.......hata Kama anakunywa na marafiki kwani hajui usalama upoje...marA nyingine mmoja wao anaweza kuwaponza wote.....

Mwanamke asiyekunywa kabisa ni rahisi kumchukua Kama yupo shy....ila Kama yupo serious ...you have to be a man enough to confront her...Kama kutongoza hadi pombe hutaweza
 
Ina ukweli zaidi ya aslimia 100....we kwa nini kama unamtoke demu ukisikia hanywi pombe unakata tamaa.......kwa kuona ugumu ulioko mbele yako.:smiling:

Hata kama hanywi unamdenda tu hadi anakunywa ....

Kuna dem alijifanya hanyi pombe ... nikampeleka Soft Rocky (Bukoba mjini - sijui bado ipo). Nilipofika nikamnunulia amalula na kumdanganya kuwa ni maziwa fresh special kwa ajili ya watu wasiotumia pombe!
Sitosahau; alikunywa glass moja tu; akaanza kucheka-cheka ..... kilaini nikaongozana naye hadi May Day hotel ..... kwisha habari yake (CHilimo Chinu)
 
Hahaaaaa jamani machangudoa wanajua miiko ya kazi yao hata umletee wine ya bei mbayaa hathutu kugida ugimbi mpaka amalize biashara zake.....
 
Back
Top Bottom