Laigwanan76
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 551
- 153
Una hamu ya kuPMiwa tu, huna lolote. Mimi nimekunywa pombe za kutosha na sijawahi kuharibu nikiwa nimelewa. Usichanganye mtu kutake advantange ya mwanamke kupoteza uwezo wa kureason under the influence na kukubali kugegedwa kwa matashi yake.
Wewe unasubiri umleweshe mwanamke pombe ndio kumDO lazima una matatizo makubwa; kwamba mwanamke akiwa sober hawezi kukubali kuwa na wewe au?
Kaaazi kweli kweli,mto uzi katoa challenge,sasa nyinyi msizodoe,ila inabidi mkubali kuishinda challenge kama kweli mwaweza kula gambe bila kugegedwa.......hizi khabari nyingine kwamba yeye anatka uslope wa kupata K nadhani ni ulterior motives,if he has any na ndio challenge yenyewe.............hapa mwanamke wa shoka ajitome alafu mje mtupe mrejesho nyuma.....bhaaaaaaaasi!
Ila kigezo kwa mtoa challenge........hakuna kubaka au kulazimisha,tunataka umshawishi tu kama kweli atakubali,we want her consent wakati anadevela devela!