Ladslaus Modest
JF-Expert Member
- Jun 27, 2008
- 635
- 20
Fikiria ni watu wangapi humu ndani humwandikia Mwanakijiji au Lula wa Nzela kwa kutumia Email zao halisi au kumpigia simu na kuongoea naye. je kama huyu mtu si mtu mwema (kama tunavyoaminishwa) kwenye mfumo gandamizi kama huu, kundi kubwa hilo la watu liko kwenye hatari kiasi gani?
Tunaingia hewani sasa hivi...
inaanza wapi? bongoradio au?
"mimi nakupenda" unampigia nani huo wimbo wewe? .....
si ulimsikia cuz wangu nilikuwa nimeudediketii kwake na kwa yule "ampendaye". ..
..cupcake wake akikusikia usianze kuomba msaada wa ma mods hapa...
..cupcake wake akikusikia usianze kuomba msaada wa ma mods hapa...
"mimi nakupenda" unampigia nani huo wimbo wewe? .....
That was a nice song indeed....hope pumkin alisikia dedication lol