LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,121
- 27,128
Ni rapper mkali kwenye game. Ana jina kubwa. Anatoa kazi nzuri sana na ana mashabiki wengi sana hasa vijana wa miaka ya 2000s. But details zake hazijulikani.
Haijulikani majina yake halisi anaitwa nani. Ni Mwenyeji wa wapi? Anatokea hood gani? Elimu yake umri wake na kadhalika.
Wenye kumfahamu huyu dogo watiririke hapa
Haijulikani majina yake halisi anaitwa nani. Ni Mwenyeji wa wapi? Anatokea hood gani? Elimu yake umri wake na kadhalika.
Wenye kumfahamu huyu dogo watiririke hapa