Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
kutokana na watu humu ndani kujuana kwa majina bandia au majina ya kuwasiliana imekuwa vigumu kujua uhalisia wa mtu
Lakini baada ya kufuatialia kwa makini kwa muda mrefu nimefikia hitimisho kwamba mmoja wa wanaforum wa Jamiiforums si mtu wa kawaida, mwanaforums huyo si mwingine bali ni Mzee mwanakijiji!
Mzee mwanakijiji ambaye kwa jina lingine ni Lula wa Nzela anayeandikia Gazeti la Raia mwema inahitajiwa kujulikana walao wasifu wake kama siyo lazima jina lake halisi.
Kwa sababu inavyoonekana kwa namna ya ajabu kabisa yeye ni mmoja wa wanaforum mwenye ushawishi mkubwa sana kwetu. hali ya ushawishi wake mwanakijiji inasababisha (siyo kupelekea) kutaka mtu aliye nyuma ya jina hili ni nani na ajenda yake kwa watanzania ni nini
katika siku za hivi karibuni nimeona uandikaji wa mwanakijiji unaelekea kule kwenye aina ya uandhishi wa Rai enzi wanamtandao wanamtayarisha Kikwete kuingia Ikulu. mwanakijiji amebadilika au amebadilishwa?
Lakini baada ya kufuatialia kwa makini kwa muda mrefu nimefikia hitimisho kwamba mmoja wa wanaforum wa Jamiiforums si mtu wa kawaida, mwanaforums huyo si mwingine bali ni Mzee mwanakijiji!
Mzee mwanakijiji ambaye kwa jina lingine ni Lula wa Nzela anayeandikia Gazeti la Raia mwema inahitajiwa kujulikana walao wasifu wake kama siyo lazima jina lake halisi.
Kwa sababu inavyoonekana kwa namna ya ajabu kabisa yeye ni mmoja wa wanaforum mwenye ushawishi mkubwa sana kwetu. hali ya ushawishi wake mwanakijiji inasababisha (siyo kupelekea) kutaka mtu aliye nyuma ya jina hili ni nani na ajenda yake kwa watanzania ni nini
katika siku za hivi karibuni nimeona uandikaji wa mwanakijiji unaelekea kule kwenye aina ya uandhishi wa Rai enzi wanamtandao wanamtayarisha Kikwete kuingia Ikulu. mwanakijiji amebadilika au amebadilishwa?