Mwanakijiji, huu ni UDINI pia...

Mwanakijiji, huu ni UDINI pia...

Status
Not open for further replies.
yani unataka tuendelee kupritendi kuwa hili jambo ni dogo!!

Of course, kukimbilia conclusion kwamba waislamu wanahusika ni kulikuza. tuache vyombo husika vifanye kazi yake kubaini nani wanahusika, kama wataendeleza usanii wao kama walivyozoea tutajua na nafasi pekee tuliyonayo wananchi namna ya kuzuia uzembe wa namna hii ni kupitia maamuzi ya kisiasa lakini tunapokimbilia kutoa maamuzi ya kitaalamu namna hii kwa hisia tunakuwa tunakosea.
 
Unajua nimerudi na kusoma nilichoandika na kukuta hakuna cha kubadilisha. Sijui ni kwanini baadhi ya watu wamefikiria nimesema aitishe kisasi! Na inaonekana watu wengi ambao wanakuja juu hawajasoma kwanini nimemtaja Oscar Romero.. wangechukua muda wangeona kuwa hii si mara ya kwanza kwa mimi kuitisha wachungaji/mapadre kufuata nyayo za Oscar Romero badala ya kukaa na kuenjoy sadaka za waumini na kulala kitanda kimoja na watawala...
 
Unajua nimerudi na kusoma nilichoandika na kukuta hakuna cha kubadilisha. Sijui ni kwanini baadhi ya watu wamefikiria nimesema aitishe kisasi! Na inaonekana watu wengi ambao wanakuja juu hawajasoma kwanini nimemtaja Oscar Romero.. wangechukua muda wangeona kuwa hii si mara ya kwanza kwa mimi kuitisha wachungaji/mapadre kufuata nyayo za Oscar Romero badala ya kukaa na kuenjoy sadaka za waumini na kulala kitanda kimoja na watawala...

Hakuna mkuu wangu,Mwl Nyerere ilimgharimu sana kurudia maazimio ya Azimio la Arusha kuona wapi palikosewa akawa haoni na ilimpa tabu kweli kwanini tunalipuuza.

Bandiko lako ni sahihi.Sijaona tatizo binafsi.
 
Sisi wakristo tunafundishwa kusamehe na wenzetu wanachukua hiyo fursa kufanya watakalo dhidi yetu. mkapa akawapa chuo cha umma kuwa chuo kikuu chao morogoro kimya, wakachoma makanisa kimya na wakachinja mchg kule Geita tukawasamehe, wakampiga Padre Ambrose risisi kimya na sasa wamemwua Padre Mushi. Pamoja na dhana kwamba waliua hawajulikani lakini taarifa zilishasema kupitia vipeperushi vilivyosambazwa mapema kuwa baada ya Padre Ambrose mapambano yanaendelea. Sasa, huu si ushahidi na vyombo vya ulinzi vilikuwa wapi?
Swali ni je, tutakaa kimya na kuwasamehe hadi lini? Je, wakimwua askofu ndo tutaamka au wakiwaua mapadre wengi tutaamka? Hapo ndo nachanganyikiwa.
Je, kama hayo niliyoyataja yangefanywa dhidi ya uislamu ingekuwaje?
 
"Hii nchi bila watu kuchukua silaha na kuchinjana hatuwezi kufika popote" By Mimi Mwenyewe
 
TWO wrongs do not make it right...

wakuwa held responsible ni serikali.....na sio kila mtu akimbilie kwa viongozi wa dini yake
unapinga nini,na unafanya nini?
Hiyo 'wrong' ya upande mwingine inapofanyika, umewahi kuikemea?
 
Nina mashaka kama una-feel machungu yanayowapata wanaopotezewa wapendwa wao
Sawa wao wamefunzwa hivyo lakini wakristo hawajafunzwa hivyo. Nitamshangaa sana Pengo akitoa tamko kama linavyodhaniwa. Anachotakiwa ni kugeuza shavu la pili
 
Saw kabisa The Boss hii ngoma ni ya serikali, wanatakiwa kuicheza haswa na kuimaliza!
 
Last edited by a moderator:
tunashukuru CCM kwa kutufikisha hapa.

PENGO tunaomba ROHO MTAKATIFU akupe busara.

Ukireact na kutoa maelekezo ya kuchochea 'adhma' ya wachonganishi/ wauaji itatimia, ya kutufarakanisha.
Please kipindi hiki heri ufunge na ROHO akuongoze
 
Chochote wakachosema
bado jukumu la kukamata wahalifu na kuwapeleka mahakamani lipo kwa serikali....

Pengo sio Nyerere,yes ni sad Padri kauwawa but si kwamba waluiomuua huyo Padri wana
baraka za waislam wote wa TZ....sioni umuhimu wa Kauli za viongozi wa dini kwenye 'POLICE CASE'

Mfululizo wa mauji na hujuma dhidi ya wakristo zimedhirisha serikali imeshindwa kuwalinda wakristo, kwahiyo siyo vibaya wakristo wakakimbilia kupata muongozo wa viongozi wao wa imani! They have lost faith on the government though they still have faith on the Country, on Tanzania!
 
Kwa kuwa watu hawaweki utambulisho wao halisi humu....yaweza kuwa ni wale wale wa imani ileile wanawajaza hasira wakristu kupitia kwa viongozi wao wa dini........Hapa viongozi wa dini kuweni na hekima. Kama kiongozi wa dini mojawapo kasema hadharani kuwa watawachinja viongozi wa dini nyingine....kama redio ya imani fulani inahubiri uchochezi waziwazi na bado inaendelea kufanya hivyo na wanaohusika kuthibiti wamekaa kimya. Je wenye dola na mamlaka ya kuchukua hatua wanafanya nini?....Mtu wa Imani fulani asidhani kuwa anaweza kuishi na watu wa Imani yake tu....angalia Pakistani Wasuni wanawauwa Washia tena watoto wadogo.Wenye imani za kutoa uhai wa watu wengine watajikuta siku moja wakibaki wenyewe nao wataanza kuuana. Pato kubwa la Zanzibar linatokana na biashara ya utalii.....Je wanaotalii na kuipatia nchi mapato ni watu wa imani kama ya kwangu?...Wenye mamlaka za kuondoa hali hii fanyeni kaze yenu vinginevyo, hamtakwepa lawama ya kwamba ninyi mko nyuma ya haya yote kwa kuwa ninyi ni wa imani fulani na historia itawahukumu ninyi na vizazi vyenu.
 
Narudia tena hao waislamu wafanya ujinga wao huko huko ZNZ na kwa waoga Geita .. Wasithubutu kuingia A town itakula Kwao ... Nasema Hakuna rangi wataacha ona..​

kumbe A town hakuna waislamu makubwa subiri hiyo siku utakayo tuonyesha hiyo rangi sipati picha hiyo siku itakuwaje yaani wewe unaangalia kwa jicho moja kama fundi saa fungua macho yotebaba ndioutaujua ukweli
 
Mfululizo wa mauji na hujuma dhidi ya wakristo zimedhirisha serikali imeshindwa kuwalinda wakristo, kwahiyo siyo vibaya wakristo wakakimbilia kupata muongozo wa viongozi wao wa imani! They have lost faith on the government though they still have faith on the Country, on Tanzania!

kwani sikuizi kadinali pengo anajeshi? kwasababu ukisema waumini wa kikristo wakimbilie kwa viongozi wa dini na waislamu wakimbilie kwa viongozi wao kinacho fuaata unakijua?
 
Nashangaa wengi humu wameshatuhumu kuwa huyo mchungaji wa kondoo kauliwa na Waislaam. Muuwaji anaweza kuwa wa dini yeyote ile, hata mchungaji mwenzie anaweza kumuuwa.

Isitoshe, kuna sababu za mtu kuuwa na au kuuliwa. Madudu mengi tuliyoyasikia duniani kwa hawa wachungaji hususan yale ya kuharibu watoto wadogo yanaweza yakapelekea mzazi mwenye hasira kuuwa.

Huyo anaejiita Mzee Mwanakijiji anaweza pia kuwa ndiye muuwaji na anakuja humu kwa shutuma na hamaki na kujifanya imemuuma sana ili kupoteza watu maboya.

Hili tukio inatakikana lifanyiwe uchunguzi wa kina na bila kutazamwa kwa mtazamo wa dini, linaweza linaweza kuwa ni mtego wa panya kuingiza walliokuwemo na wasiokuwemo.

Suspicion yangu kubwa iko katika mambo matatu:

  • Moja ni biashara ya utalii na mahasimu wa Zanzibar wa hiyo biashara.
  • Mbili ni "inside job" ya wenyewe kwa wenyewe huko kanisani.
  • Tatu ni "revenge" ya uharibifu m'baya wa aina fulani.

zomba, ushahidi tosha wa kuwa padre huyu kauwawa na waislam upo katika clip ya Ustaadhi Ilunga alipokuwa akizungumzia mauaji ya Sheikh Rogo wa Mombasa. Kwa maneno yake mwenyewe anawaambia waislamu kuwa akiuwawa Sheikh mmoja wamwue askofu, au kadinali au mlei mmoja. Na aliwaambia waanze mana hata sheikh ponda atauliwa siku za karibuni! Ajabu ni kwamba Ustaadh Ilunga hadi sasa anatanua mitaani. Ushahidi wa pili ni ukweli kwamba waliomwua huyu Padre ndio wale wale waliompiga risasi Padre Ambrose! Kwa stail ile ile. Maana yake wanafadhiliwa na viongozi wa kiislamu na kukingwa na mkono wa dola ulioko chini ya waislamu. Ajabu, ama kwa makusudi, au kwa kukosa elimu, waislam hao hao wamekuwa wakilia na mfumo Kristo, ambao unaongozwa na waislamu! Na huwa nashangaa sana huyu mungu wa waislamu anayetetewa na watu namna hii! Amekuwa dhaifu kiasi hicho?
 
Last edited by a moderator:
Naona tutafika mahali tutaacha kukemea upunguani kwa kuogopa kuitwa wadini.. Kila mtu ana role ya ku-play kwenye hii issue..

Wanajamii wote - Kukemea hili suala na kutokuingiza imani kwenye sheria na kila anayevunja sheria kum-report

Viongozi wa dini - Kuonyesha waziwazi kwamba wanakemea hili suala na wanaovunja sheria sio wenzao (na hapa Pengo yeye kama kiongozi inabidi awatafute viongozi wenzake wa upande wa pili kuonyesha solidarity na upendo as well as kuwashinikiza kupinga na kuwaumbua wale wote wanaovunja sheria) in so doing atakuwa amesaidia usalama wa wafanyakazi wenzake

Serikali - Kukemea na kumtia nguvuni yoyote anayevunja sheria (muda wa upatanishi ushapitwa na wakati, yoyote anayevunja / aliyevunja sheria ni kumtia nguvuni as well as yule anayetetea maovu)
 
Pengo akutane na viongozi wa serikali kufanya nini? Lengo lilikuwa padri auawe na limetimia kikamilifu. Maneno ya ajabu wanayojifanya kutamka wanaotawala wanajua hayabadilishi kitu. Yatapangwa mengine na yatafanikiwa pia na maneno yatarudiwa hayo hayo. Sababu wanachosema ni kuwa baada ya tukio, kinachofuata ni upepo tu na utapita kisha kazi inaanza upya. What a tragedy.
 
Hivi Desmond Tutu wa Afrika Kusini alikuwa akipinga ubaguzi kama kiongozi wa serikali au wa kidini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom