zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,938
zomba, ushahidi tosha wa kuwa padre huyu kauwawa na waislam upo katika clip ya Ustaadhi Ilunga alipokuwa akizungumzia mauaji ya Sheikh Rogo wa Mombasa. Kwa maneno yake mwenyewe anawaambia waislamu kuwa akiuwawa Sheikh mmoja wamwue askofu, au kadinali au mlei mmoja. Na aliwaambia waanze mana hata sheikh ponda atauliwa siku za karibuni! Ajabu ni kwamba Ustaadh Ilunga hadi sasa anatanua mitaani. Ushahidi wa pili ni ukweli kwamba waliomwua huyu Padre ndio wale wale waliompiga risasi Padre Ambrose! Kwa stail ile ile. Maana yake wanafadhiliwa na viongozi wa kiislamu na kukingwa na mkono wa dola ulioko chini ya waislamu. Ajabu, ama kwa makusudi, au kwa kukosa elimu, waislam hao hao wamekuwa wakilia na mfumo Kristo, ambao unaongozwa na waislamu! Na huwa nashangaa sana huyu mungu wa waislamu anayetetewa na watu namna hii! Amekuwa dhaifu kiasi hicho?
Hayo ni yako wewe, unaweza kuwa hata wewe umemuuwa, pengine alikuwa akiifanya ile kazi maarufu ya wachungaji na sasa unajidai Sheikh Ilunga.
Ooh, kumbe kuna Masheikh waliuliwa Mombasa? Na nani? Na wewe ulikemea au ulifurahia?