Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,942
- 43,599
Ina shangaza sana The Boss kuonesha wazi kuwa umeshindwa kumuelewa Mzee Mwanakijiji.
Naona sababu ulikuwa unafikiri jinsi ya kumpinga.
Naona unajaribu kutuaminisha kuwa anayetoa maoni yake kuhusu hatua stahiki kuchukuliwa ni mdini ila wewe unaye mpinga mdini unataka usionekane mdini.
Sijaona tatizo la mwanakijiji kumkubusha pengo kusimama kwelikweli! Kwani si mara ya kwanza tukio hili kutokea!
Naona sababu ulikuwa unafikiri jinsi ya kumpinga.
Naona unajaribu kutuaminisha kuwa anayetoa maoni yake kuhusu hatua stahiki kuchukuliwa ni mdini ila wewe unaye mpinga mdini unataka usionekane mdini.
Sijaona tatizo la mwanakijiji kumkubusha pengo kusimama kwelikweli! Kwani si mara ya kwanza tukio hili kutokea!
Last edited by a moderator: