Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,880
- 2,761
Hata fisadi mmojawapo akipewa uwaziri basi jk bogus squared
hawa jamaaa wakirudi tena, naandaa vijana, na kuingia msituni, ,,,,,,,,,potelea mbali. Huu ni udhalimu uliokithiri. Watanzania tuamke sasa.!!!
Kitu kimoja kibaya sana JK anachoweza kukifanya ni kumpa EL Wizara ya Habari., Utamaduni na Michezo. Atayashughulikia vilivyo, na pengine kuyafungia magazeti kama MwanaHALISI, Raia Mwema, Tanzania Daima na hata Mwananchi. ITV ya Mengi nayo itakuwa hatarini kufungiwa ikiwa itazidi kujiweka mstari wa mbele katika vida dhidi ya ufisadi.
Kina EL na RA hawataki kuona vita hiyo ikiendelezwa kwenye vyombo vya habari kwani itakuwa kila mara inawagusa wawili hao na hivyo kuondoa ndoto zao za kushika nchi mwaka 21015.
Yote haya ni maandalizi ya kumusafisha Lowasa aweze kuwania urais 2015. Hivyo mbio za Chege za kutaka uwaziri zinaweza kuishia sakafuni lakini siyo za Lowasa. Iweje ni lazima Lowasa arudishwe kundini.
Jamani hivi mtu ukishakuwa waziri mkuu
ni rahisi tena kuwa waziri wa kawaida
Tangu nimeifahamu Tanzania ukishakuwa waziri mkuu nafasi inayokufaa ni urais
hata six ni ngumu kuwa prime minister maana uspika ni zaidi ya uwaziri.....
Hili mwalionaje?
kumbe kuna watu bado wanaamini habari za kubenea. mwanahalisi, uhuru, rai, tanzania daima na habari leo ni magazeti ya kuchakachua habari.
toka kubenea aanze kuandika habari za lowasa ni habari ipi japo imekuwa kweli?
kubenea anamtumia lowasa kuuza magazeti yake wala hana sosi yoyote ya maana ccm. mnaonunua magazeti yake mnaibiwa na kumtajilisha huyo kubinua