Ikumbukwe huyu Lowasa ndiye aliyemuingiza Mh. JK madarakani kwa kutumia mtandao wake sasa inabidi afikiriwe tena kupewa wizara ili ajisafishie njia ya kuwa mgombea wa urais 2015, maana itakuwa nguma kuomba kuwania urais wakati uko nje ya baraza la mawaziri.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.