Ni kweli sema watu wameandika bila kushirikisha akili ( sio wote)Wala hamna tatizo hapo, hao ni watoto tu. Huwa wana tabia ya kudadisi na kutaka kujua mengi. Sema wanadadisi kwa namna mbali mbali, Wala hawajui kwa nini kuna mwanaume na mwanamke mkuu... Huwa wanaongea tuu
Wakuu wenzangu poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa letu.
Naomba nijitambulishe, mimi ni mwalimu wa shule za English medium, yaani shule za mchepuo wa lugha ya kiingereza.
Huwa nafundisha madarasa ya mtihani, wale darasa la saba na darasa la nne. Tatizo limeanzia baada ya mwalimu mwenzetu mmoja anayefundisha darasa la tatu kwenda masomoni, sasa nikiwa kama mwalimu wa taaluma niliamua kugawa vipindi vya mwalimu huyu kwa wengine na mimi nikachukua somo la sayansi.
Sasa Leo nikiwa katika kipindi nafundisha na kuandika notisi,kuna kitu cha ajabu kilitokea, mtoto mmoja wa kike aliita sir, nikageuka kumsikiliza akasema"mwalimu Neema kasema eti huyu mwalimu ilibidi awe msichana"(mimi)
Wakuu mwili ulikufa ganzi, nikaishiwa pozi, ilibidi nipotezee ili kuwatuliza wanafunzi maana niliona walidhani labda nitahamaki, kisha nikawaelekeza wale watoto wawili wake ofisini baada ya kipindi.
Walipofika nikataka kiini cha Neema kusema vile akasema akaniangalia nilivyo eti nimefanana na dada yake Dah! Nilikasirika sana ila Neema akajitetea kuwa hata rafiki yake aliemtaja yeye naye husema hivyo hivyo.
Niliwaonya wale wanafunzi kwa kuwapa counselling tu, sikuwaadhibu
Je, wakuu ingekuwa ni wewe ungechukua hatua gani, ili kama nimekosea niboreshe.
Kuhusu tabia hizo za kikekike sinaPole mkuu ila watoto wadogo huwa wanasema kweli ingekuwa wa sekondari ningesema labda wanekudharau, jaribu kujichunguza muonekano wako pamoja na mavazi uwapo darasani pia namna ya vitendo unapofundisha.
ukiona kuna hali ya kikekike jirekebishe haraka mkuu... au jaribu kumdadisi kiongozi yoyote wa hapo darasani kama ni monita au kiranja na atakacho kwambia jirekebishe ili usije tungwa jina maana wanafunzi nawafahamu!!
Ni tabia ya baadhi ya watu humu kuropoka tuu... Hawajui namna inavyoumizaga waleta mada. Hapo ni utoto tuu wale hawajui loloteNi kweli sema watu wameandika bila kushirikisha akili ( sio wote)
Achana na Avatar mkuu!!!mwalimu alikuwa anafundisha na anaandika ubaoni.Tambua ukiwa unaandika ukigeukia ubao wao wanafunzi unawapa mgongo na makalio.So hapo ndipo kwenye tatizo,sio avatar ni shape ya nyuma ya mwalimu.Inaonyesha anamakalio kama ya mtoto wa kolomojeAvatar yako tu inaonyesha mfano wa kuwa upo bombaaaaa.
Bora umeyamaliza vizuri hao watoto wadogo ungeenda mbali wangekugeuzia kivao kwa kitu cha kipuuzi, ukakimbia kazi au kumsabahi Kamanda wa mkoa ulipo.
ili uka muhakiki kuwa mna fanana kiasi gani.Ya kaz gan
Haya bhana!!Achana na Avatar mkuu!!!mwalimu alikuwa anafundisha na anaandika ubaoni.Tambua ukiwa unaandika ukigeukia ubao wao wanafunzi unawapa mgongo na makalio.So hapo ndipo kwenye tatizo,sio avatar ni shape ya nyuma ya mwalimu.Inaonyesha anamakalio kama ya mtoto wa kolomoje
Asante my
Weka picha yako mkuu tutajua cha kusemaWakuu wenzangu poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa letu.
Naomba nijitambulishe, mimi ni mwalimu wa shule za English medium, yaani shule za mchepuo wa lugha ya kiingereza.
Huwa nafundisha madarasa ya mtihani, wale darasa la saba na darasa la nne. Tatizo limeanzia baada ya mwalimu mwenzetu mmoja anayefundisha darasa la tatu kwenda masomoni, sasa nikiwa kama mwalimu wa taaluma niliamua kugawa vipindi vya mwalimu huyu kwa wengine na mimi nikachukua somo la sayansi.
Sasa Leo nikiwa katika kipindi nafundisha na kuandika notisi,kuna kitu cha ajabu kilitokea, mtoto mmoja wa kike aliita sir, nikageuka kumsikiliza akasema"mwalimu Neema kasema eti huyu mwalimu ilibidi awe msichana"(mimi)
Wakuu mwili ulikufa ganzi, nikaishiwa pozi, ilibidi nipotezee ili kuwatuliza wanafunzi maana niliona walidhani labda nitahamaki, kisha nikawaelekeza wale watoto wawili wake ofisini baada ya kipindi.
Walipofika nikataka kiini cha Neema kusema vile akasema akaniangalia nilivyo eti nimefanana na dada yake Dah! Nilikasirika sana ila Neema akajitetea kuwa hata rafiki yake aliemtaja yeye naye husema hivyo hivyo.
Niliwaonya wale wanafunzi kwa kuwapa counselling tu, sikuwaadhibu
Je, wakuu ingekuwa ni wewe ungechukua hatua gani, ili kama nimekosea niboreshe.
Utakuwa unavaa nguo zinazokushika sana mwili na kuonyesha mwili wako....acha kuvaa vimodelJichunguze., Kama unavaa vimodel uache mara moja., Yumkini ilo umbo lako linaonekana ni janga kama sio sura..!! Had watoto Wame notc..!!