Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Mwanafunzi wangu amenidhalilisha

Avatar yako tu inaonyesha mfano wa kuwa upo bombaaaaa.

Bora umeyamaliza vizuri hao watoto wadogo ungeenda mbali wangekugeuzia kivao kwa kitu cha kipuuzi, ukakimbia kazi au kumsabahi Kamanda wa mkoa ulipo.
mhh cocochanel!!!
 
Watu wazima wakisema jambo kuna uwezekano ikawa chuki, unafiki, kukudharaulisha, figisu figisu, wivu, bifu n.k... Lakini mtoto mdogo akisema kitu he/she is very honest, huwa hawana unafiki hata kama anakuchukia.

Mkuu jichunguze, ongea yako, uvaaji wako, movement ya mwili, behavarial patterns, body language n.k. Kama basi walirefer kutokana na sura yako, basi usiwe na shaka, wachukulie kama watoto tu.
Mkuu umeongea uloongea yanatosha, kama ana akili atakuwa kaelewa
 
ni saw coz dunian tuko wawili wawili watoto hawn makosa kabisa.pole san bro
 
  • Thanks
Reactions: B40
Pole ticha,ni watoto hao.cha msingi angalia jinsi ya ku wa handle ki maadili.mbona hata hivyo ume win??piga kazi
 
  • Thanks
Reactions: B40
Walipofika nikataka kiini cha Neema kusema vile akasema akaniangalia nilivyo eti nimefanana na dada yake Dah! Nilikasirika sana ila Neema akajitetea kuwa hata rafiki yake aliemtaja yeye naye husema hivyo hivyo.


Ukweli na uhakika
 
Back
Top Bottom