Habari za kusikitisha san a zilizopatikana mchana huu ni kwamba mmoja kati ya wanafunzi wa kidato cha sita wa Sekondari ya Korogwe, amefariki,
Msichana huyo ilikuwa amepelekwa KCMC Moshi kwa matibabu akiwa na Halifax mbaya.
Habari hi imenigusa na kunisitisha sana.
Rip mtoto Zahra
ha a ha aha aa aha ULIPOSEMA kaaaya UMENIKUMBUSHA mbali brother, mimi nilikuwa PUGU SEC bt nilikuwa natimba minaki boys kama kwet vile, smtym nakula pugu nalala minaki, kaaya mkuda sana, sijui kwa vile ana strec coz smtym AKILI zinaham kabsa!< PUGU n MINAKI wazeee wa KUDROPPole zao. Natoa hi! kwa wote waliosoma Minaki enzi za Kaaya.
nawapa pole walimu na wanafunzi wa korogwe,
Mungu ailaze roho ya marehemu zahra mahali pema pep[oni.
Formal student of korogwe.