Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,971
- 10,465
Ndugu wanajamvi,
Poleni kwa majukumu. Leo kulipangwa kufanyika mahafali ya wanafunzi wa kidato cha sita wanaohitimu masomo mwaka huu. Habari nilizopata muda huu kutoka kwa wilayani Korogwe ni kwamba, wanafunzi wakiwa wanaendelea na maandalizi ya kuingia ukumbini kuanza sherehe, ikatokea mwenzao akachukua gari ya wazazi wake na kuanza kuiendesha katika viunga vya shule. Katika pilika hizo za kuendesha, amewagonga wenzake , ambao hali zao inasemekana ni mbaya sana, na wamepelekwa katika hospitali ya Magunga ya wilaya hiyo.
Chanzo cha habari hii ni dada yangu aliyepo hapo Korogwe muda huu, alikwenda hapo kuhudhuria mahafali hayo ya wanafunzi wa Korogwe Girls.
Mwenye ndugu yake hapo shuleni aanze kuwasiliana nae muda huu. More updates later.
Nawasilisha..
..¤¤¤¤¤¤¤¤¤¤¤¤¤
Updates....Mwanafunzi aliyegonga wenzake anaitwa 'KIBIBI MMASA BAKARI.'
Waligongwa (hali zao bado zina utata) ni hawa wafuatao:-
1. Wakonta Mapunda
2. Lulu Calisty
3. Vicky Mtwale na
4. Nancy Juma
5. Zahra Jumanne
Nawapa pole sana waliopatwa na mkasa huu.
More updates coming......
Mkuu wa wilaya ya korogwe mwenye suti akiwa amemshika mwanafunzi Kibibi Mmasa (19) aliye weka gia ya kurudi nyuma gari na kusababisha balaa kwenye mahafali ya kidato cha sita shule ya wasichana Korogwe.
Hili ndilo gari lililo haribu mnuso wa Korogwe Girls wazazi na walezi wakaamua kurudi kwa majonzi majumbani na mapilau yao kwenye mahot pot. Hapa likiwa limeegeshwa shuleni hapo baada ya ajari.
Poleni kwa majukumu. Leo kulipangwa kufanyika mahafali ya wanafunzi wa kidato cha sita wanaohitimu masomo mwaka huu. Habari nilizopata muda huu kutoka kwa wilayani Korogwe ni kwamba, wanafunzi wakiwa wanaendelea na maandalizi ya kuingia ukumbini kuanza sherehe, ikatokea mwenzao akachukua gari ya wazazi wake na kuanza kuiendesha katika viunga vya shule. Katika pilika hizo za kuendesha, amewagonga wenzake , ambao hali zao inasemekana ni mbaya sana, na wamepelekwa katika hospitali ya Magunga ya wilaya hiyo.
Chanzo cha habari hii ni dada yangu aliyepo hapo Korogwe muda huu, alikwenda hapo kuhudhuria mahafali hayo ya wanafunzi wa Korogwe Girls.
Mwenye ndugu yake hapo shuleni aanze kuwasiliana nae muda huu. More updates later.
Nawasilisha..
..¤¤¤¤¤¤¤¤¤¤¤¤¤
Updates....Mwanafunzi aliyegonga wenzake anaitwa 'KIBIBI MMASA BAKARI.'
Waligongwa (hali zao bado zina utata) ni hawa wafuatao:-
1. Wakonta Mapunda
2. Lulu Calisty
3. Vicky Mtwale na
4. Nancy Juma
5. Zahra Jumanne
Nawapa pole sana waliopatwa na mkasa huu.
More updates coming......
Mkuu wa wilaya ya korogwe mwenye suti akiwa amemshika mwanafunzi Kibibi Mmasa (19) aliye weka gia ya kurudi nyuma gari na kusababisha balaa kwenye mahafali ya kidato cha sita shule ya wasichana Korogwe.
Hili ndilo gari lililo haribu mnuso wa Korogwe Girls wazazi na walezi wakaamua kurudi kwa majonzi majumbani na mapilau yao kwenye mahot pot. Hapa likiwa limeegeshwa shuleni hapo baada ya ajari.
Mwanafunzi Zahra Jumanne wa Korogwe Girls afariki dunia tarehe 5 Februari, 2012
Zahra Jumanne, Mmoja wa wanafunzi waliopata ajali ya kugongwa na mwenzao Korogwe katika sherehe za kumaliza shule amefariki dunia leo KCMC..