mbwigule
JF-Expert Member
- Jan 21, 2012
- 235
- 103
Polisi na Mahakama za Tanzania ni kichomi. Kama unabisha fuatilia kesi hii ambayo kila kielelezo kiko hadharani, utaambiwa "Upelelezi unaendelea" na ikigota Mahakamani itapigwa tarehe hadi mwezi Juni mwaka huu na mwezi Juni kupigwa tena tarehe hadi Desemba mwaka huu na........! Shame on them!!!!Polisi bana uchunguzi huo unaweza chukua hata mwaka mzima