As long as wamechukua Simu, Basi hao ni Vibaka na sio Majambazi. Na Naamini wakiwataka wanawapata hata asubuhi hii.
Mbili. Kwa vyovyote wana number za simu hao majambazi, Uchunguzi ni rahisi hapo, ni swala la kutafuta number zote za simu ziizo kuwapo mda wa saa nane wa tukio maeneo hayo, na pia kupata zile zilizokuwepo baada ya Tukio, Zitakazo kuwapo hazipo baada ya Tukio ni sample tosha kuwapata hao Vibaka.
Tatizo polisi wenyewe ni Majambazi na hilo la wizi wa Laptop kwa Dar ni Janga la Kitaifa inajulikana kabisa ni wakina nani wenye Mtandao huo wa wizi wa Laptop.
Jeshi limeoza. Mti anashindwa kumchunguza Mkewe unategemea nini?