Mwanafunzi chuo kikuu UDSM apigwa risasi- Afariki

Mwanafunzi chuo kikuu UDSM apigwa risasi- Afariki

Status
Not open for further replies.
Hao auxillary siku hizi wanajifanya matrafiki wanasubiria boda boda waje wawabambikie kesi sasa higo kazi ya kulinda wanafunzi wataifanya lini mkuu??
 
jana ucku wakati tunatoka udsm tulipipofika uwanja wa mpira geti maji tukakuta vijana wanne wamemkamata mwnfunzi wa udsm kwa madai kuwa alijisaidia uwanjan hapo hvyo wanamchukua mwnfnz hyo na kuondoka naye, sisi hatukujali sana, cjui waliishia wapi?
Hilo mlifanya kosa la kiufundi...
 
Polisi wako bize na Chadema! Narudia tena usisubiri yakukute!
Hatuko salama tena!
 
Aisee. Maisha ya bongo yamekuwa magumu sana. Nimekumbuka amani ya enzi za mwalimu, unaamka saa nane usiku unatembea umbali mrefu kwenda darasani. Unaweza kulala bila kufunga mlango na simu yako ya nokia jeneza iko hapo juu.

Siku hizi usipobakwa kuna majambazi. So sad! Mungu akujaalie afuai
Na wasipokuja majambazi,watakuja polisi,na hawa ni wabaya kuliko jambazi,kwani ni lazima wakuue ili kupoteza ushahidi
 
Polisi wanafanya siasa! Jiulize Changoja anafanya nini Arusha?
Muda gani atapata muda kufikiri mambo muhimu ya ulinzi zaidi ya kufikiri namna ya kuharibu ushahidi na kuikoa CCM?
Majambazi yanatamba huku Polisi wakiua makusudi raia walioapa kuwalinda!
 
Mwanafunzi
wa mwaka wa
nne kitivo cha sheria kwa jina la ALEX, amepigwa risasi tumbon na
majambazi. Tukio hlo limetokea saa nane na nusu usiku, ktk ukumbi wa
yombo 1 ambapo alikuwa na wenzake watatu wakijisomea kwa ajili ya
mtihani wa kesho. Majambaz hayo yamepora laptop 3, simu na pesa. Ulinz
hapa chuo ni mdogo sana,na kuna maaskari lakini hawakuwapo na
walijifisha. Tukio hlo limesababisha wanafunz kuandamana usiku mzima,
wakitaka kujua haki zao za kulindwa na hao mapolsi ambao wamekuwa
hawawajibiki. Toka saa nane mlio wa risasi ulilia na waliusikia lakini
hawakutokea na wakati wapo mita kama 200 kutokea sehemu ya tukio.
Majeruh alifikishwa hospitali ya chuo na wanafunz wenyewe, sasa
amepelekwa moi, na mungu atamsaidia. Baba professor mkandala tunaomba
usikie kilio chetu na muimarishe ulinzi. Sijui kama mwanafunz huyo
angekuwa foreina Udsm ingekuaje. TUMEWACHOKA MApolisi. Inasikitisha
sana



Najua nikisema ni CHADEMA wamehusika nitatuzwa yafuatayo na serekali ya
CCM.

1. Nitapandishwa cheo na kusimamia kanda yote ya ulinzi chuo kikikuu
changanyikeni yote .. na zaidi kuwa mshauri wa karibu wa Jk
2. Bungeni nitakuwa mfalme kwa kupigiwa makofi, vigelegele na mderemo
kila ni kitema upuuzi wa cheche za kuimaliza CDM.
3. Nitapewa kibali na ikulu cha kujifunza na kutekeleza kumsigizia
mlalamikaji kile anacholalamika aka kumgeuzia kibao aka acuse the victm of what you are ..
Nikiilenga CHADEMA walivyofanyiwa .. pale soweto garden ...
 
Mwenyenzi MUNGU mwema wa Rehema na akupe nguvu upone mapema urejee katika afya kama siku zote!

Wakaidi wapigwe tu - PINDA



Asipoikanusha kauli hii mbele ya Bunge hakika itamgharimu siku zote ya uwepo wake Duniani mjinga mkubwa.
 
Hili tatizo halijaanza leo nakumbuka toka mwaka juzi, pale hall 6 pamekaa vibaya ni karibu kila wiki lazima majambazi wapore, lakini chakushangaza mkandala mwenyewe yupo kimya, hata kuchukua hatua zozote!! Auxilliary police wenyewe wapo kama hawapo vile.
 
inawezekana alileta fujo hapo darasani, kwa hiyo lile agizo likatekelezwa la kupiga. Amgizo limetolewa la kupiga watu wanaoleta fujo, sio wakamatwe, agizo linasema piga tu mpaka kieleweke, na kiongozi mkuu bungeni jana
 
Comrades maandamano leo hadi kwa waziri in charge of insecurity.
 
Naona WALIKAIDI AMRI HALALI YA WAVAMIZI siyo?!
Jana Waziri Mkuu wao alisema WAPIGWE TU!
Na Mwigulu alisema MTAKUFA TU!
 
Pole kijana. poleni wote. Ni majibu ya haraka sana ya maelekezo ya waziri mkuu wa nchi yenu.
 
Pleni sana ndugu zetu! ila hii ni dalili mbaya, sasa majambazi kwenda kuwapora wanafunzi? mwanafunzi atakuwa na nini kuwanufaisha hao majambazi ambao watakuwa wametumia matumizi makubwa kujiandaa kuliko walichokipta huko? kuna tatozo linguine sio fedha wala mali.......
 
Chonde chonde msiandamane wanachuo maana Jana waziri mkuu katoa agizo la kupigwa mpaka mtie adabu. Nendeni darasani tu
 
plisi wa udsm ni wazembe sana wapo bize na bodaboda, Auxilary police ndo usiseme wanakuaga active siku ya kufunga chuo tu kutwa kuchwa wanawinda wanafunzi wanaochelewa katika mabweni ya jinsia tofauti, poleni ndugu zangu jilindeni wenyewe haswa main compus ulinzi ni hovyo kabsa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom