Mwanafunzi chuo kikuu UDSM apigwa risasi- Afariki

Mwanafunzi chuo kikuu UDSM apigwa risasi- Afariki

Status
Not open for further replies.
Nimepata taarifa mda huu kwa rafiki yake wa karibu R.IP kijana wetu mbele yako nyuma yetu.
 
Sooo sad mtu kasoma hadi mwaka wa mwisho anakaribia fanya paper ndo anakatishwa maisha yake
 
Mbona taarifa haijakamilika mkuu? Mwanafunzi aliyepigwa risasi wapi? Maana haya matukio ya watu kupigwa risasi ovyo sasa yanaongezeka kila siku baada ya serikali kuruhusu rasmi.
 
Kauli ya Mizengo Pinda aliyoitoa kuwapa ruksa POLICCM ndio imeanza kutekelezwa rasmi sasa . Watawala wa Tanzania ndio wanachochea MIGOGORO nchini wanapaswa kulaaniwa kwa nguvu zetu zote
 
Pole sana Wanajumuia wa UDSM kwa msiba uliowafika Mizengo Pinda na wenzake walaaniwe sana !
 
Dah! Poleni wasomi wetu, mungu yuko pamoja nae mgonjwa wetu.
 
Kauli ya Mizengo Pinda aliyoitoa kuwapa ruksa POLICCM ndio imeanza kutekelezwa rasmi sasa . Watawala wa Tanzania ndio wanachochea MIGOGORO nchini wanapaswa kulaaniwa kwa nguvu zetu zote
Naudhika sana nawatu wapumbavu kama wewe munao geuza matatizo yetu kua mitaji yenu ya kisiasa. Tukio hili lina usika vipi na kauli ya Mh. Waziri mkuu? Tusilete mizaha kwenye matukio yakusikitisha kama haya.
 
Naudhika sana nawatu wapumbavu kama wewe munao geuza matatizo yetu kua mitaji yenu ya kisiasa. Tukio hili lina usika vipi na kauli ya Mh. Waziri mkuu? Tusilete mizaha kwenye matukio yakusikitisha kama haya.

Kwani Pinda hakutoa hiyo kauli jana bungeni?au hukusikia?
 
kuna uzi unadai mpendwa wetu hatunaye tena. naomba mods muunganishe na huu. rip
 
Pole sana Mwanafunzi Mwenyezi amponye ampe afya ,Kwa kauli ya PINDA(Pm) sijui jamaa alikuwa mbishi hakutii amri" akapigwa tu"na wakaidi wapigwe tu-lakini na hao vibaka wameshindwa kwenda kuvunja benk wanakuja kwa wachumia njaa wenzao?si kuna kituo cha polisi pale chuo utawala hawakufika?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Poleni sana wanafunzi wote wa mlimani, sasa nchi yetu haina amani tena.wapolisi wapo busy na chadema. poleni sana na Mungu awape nguvu.
 
Poleni sana wanafunzi wote wa mlimani. polisi wapo busy na chadema. Mungu awape nguvu kwa wakati huu mgumu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom