So sad indeedpolice wote wanangaika na chadema ili wapate posho, hawana habari tena na usalama wa wananji na mali zao uenda ikawa haohao plc ndo wamefanya hilo tukio, wauze bagi washindwe kwenda kupora laptop nailaumu sana ccm yote haya ndo wasababishi... R.i.p kamanda najua uliteseka sana kuitafuta elimu ya chuo familia walijitaidi mwanao apate elimu ndugu zako pia walikuwa wanangojea uwakomboe ktk umasikn taifa pia limemkosa kijana mpiganaji wa maisha ila wapumbavu wamekua kisa laptop dah! So sad
police wote wanangaika na chadema ili wapate posho, hawana habari tena na usalama wa wananji na mali zao uenda ikawa haohao plc ndo wamefanya hilo tukio, wauze bagi washindwe kwenda kupora laptop nailaumu sana ccm yote haya ndo wasababishi... R.i.p kamanda najua uliteseka sana kuitafuta elimu ya chuo familia walijitaidi mwanao apate elimu ndugu zako pia walikuwa wanangojea uwakomboe ktk umasikn taifa pia limemkosa kijana mpiganaji wa maisha ila wapumbavu wamekua kisa laptop dah! So sad
Acha uongo watu wameliwa sana na simba vijiji vya ujamaa usichanganye mambo.