Huwezi kukwepa siasa katika nchi zetu hizi. Kama viongozi wetu wote ni wana siasa nadhani hata Akina Mkandara na baadhi ya wakufunzi ni wanasiasa unatemea nini. Wanaopanga walinzi hapo ni wanasiasa. Wanaosema watelewe pia ni haohaosi kila mahali ni pakuhusisha na siasa,jifunze!
kaka KwA HIYO JAMAA HAJAFA KUMBE KAMA WATU WANAVYOSEMA?Tunashukuru wanajf wote kwakuungana nasi wanaudsm kulaan kitendo alichofanyiwa mwenzetu mm ni mmoja wa walioshuhudia tukio na nilikuwa naishi block moja na alex lakini mpaka mda huu naandika taarifa nilizonazo jamaa bado anaendelea na matibabu na c vinginevyo kama jinsi tulivyockia,naendelea kutafuta taarifa kwa wanafunzi wenzangu kujua zaidi na ukizingatia chuo tumefunga
mbona sielewi hii thread?Tunashukuru wanajf wote kwakuungana nasi wanaudsm kulaan kitendo alichofanyiwa mwenzetu mm ni mmoja wa walioshuhudia tukio na nilikuwa naishi block moja na alex lakini mpaka mda huu naandika taarifa nilizonazo jamaa bado anaendelea na matibabu na c vinginevyo kama jinsi tulivyockia,naendelea kutafuta taarifa kwa wanafunzi wenzangu kujua zaidi na ukizingatia chuo tumefunga
Tunashukuru wanajf wote kwakuungana nasi wanaudsm kulaan kitendo alichofanyiwa mwenzetu mm ni mmoja wa walioshuhudia tukio na nilikuwa naishi block moja na alex lakini mpaka mda huu naandika taarifa nilizonazo jamaa bado anaendelea na matibabu na c vinginevyo kama jinsi tulivyockia,naendelea kutafuta taarifa kwa wanafunzi wenzangu kujua zaidi na ukizingatia chuo tumefunga
hivi hawa policcm kazi yao ni nini. Hii siyo mara ya kwanza kwa wanafunzi kuvamiwa, kuibiwa mali zao, kujeruhiwa, kufanyiwa kitu mbaya-ifm. Ni hivi karibuni matukio ya kutisha yametokea katika taasisi za elimu nchini mfano chuo cha uuguzi dom, aia,ifm na sasa udsm. Cha kushangaza wanaofanya mambo haya hawakamatwi. Je; hawa policcm ni mpaka kamanda wao avamiwe ndio usikie kuna watu wamekamatwa?
Ni majangaaaaa udsm
Rafiki, wamekutumia hadi akili zimeota makunyanzi ya uongo! Muongo ni wewe bwana. Mie naongelea enzi za mwalimu wakati nasoma chuo kikuu. Ama kijiji chenu cha ujamaa kulikuwa na chuo kikuu? Toa aibu zako hapa
Inasikitisha sana. R.I.P Jina la bwana libarikiwe amen.