Mwanae hanitaki kabisa, nifanyeje?

Mwanae hanitaki kabisa, nifanyeje?

Daa yani hadi naona aibu badala yako...pole wew ni mgonjwa
 
Uhame nyumbani kwenu kisa??? Buzi la mama lina Kuja kuishi hapo....ni akili zako au za jirani???

Mfano wewe Evelyn Salt ni mke wangu afu kuna siku nikufumanie red handed na jamaa.
Swali: je kwa haki kabisa Mimi napaswa nikomae na wewe au na jamaa?
Hapo ni nani mwenye makosa? Afu kumbuka jamaa hakukubaka bali umeridhia wewe mwenyewe kumpa jamaa game.
Ukipata jibu lipeleke kwenye hili swali la mleta uzi sheikh yasin
 
Last edited by a moderator:
Mfano wewe Evelyn Salt ni mke wangu afu kuna siku nikufumanie red handed na jamaa.
Swali: je kwa haki kabisa Mimi napaswa nikomae na wewe au na jamaa?
Hapo ni nani mwenye makosa? Afu kumbuka jamaa hakukubaka bali umeridhia wewe mwenyewe kumpa jamaa game.
Ukipata jibu lipeleke kwenye hili swali la mleta uzi sheikh yasin

Hiyo case ni irrelevant kwa hii hapa, we jibu tu hapa unaweza kuhama nyumbani kwenu ili umpishe maza aishi na buzi lake hapo???? Yes or no
 
Last edited by a moderator:
Ila hii story inachekesha
Unaweza chukia lakini baadae ukacheka na kinacho chekesha zaidi ni ujasiri wa kujifanya ana sisitiza kwa kutaja umri wake kuwa yeye ni mkubwa kumzidi yule mtoto daa huyu jamaa ni kiboko!

Na yeye alikaa chini akaona aje kujibu hoja za wana jf hapo anaona amejibu kabisa Teh Teh
 
Unaweza chukia lakini baadae ukacheka na kinacho chekesha zaidi ni ujasiri wa kujifanya ana sisitiza kwa kutaja umri wake kuwa yeye ni mkubwa kumzidi yule mtoto daa huyu jamaa ni kiboko!

Na yeye alikaa chini akaona aje kujibu hoja za wana jf hapo anaona amejibu kabisa Teh Teh

Katika hili kinachonichekesha ni kusema "yeye pia ni mafia" nshacheka sana mie lol
 
Kosa la mtoa mada ni nini hapo? Nani alisema kuwa umri fulani anatakiwa aroll na wa umri huu, mbona wanafiki nyie watu?
 
Anyways. Maisha binafsi but.
Sasa huyo kijana atamla mama yake?
Mengi Reginald na k mnamsifia. Au kwa kuwa ana chapaa
Ina maana kwako ni sawa kabisa Mama yako mzazi kufanya haya tena mbele yako? Lakini si shangai ili jambo linavyo chukuliwa na wanawake ni tofauti na wanaume! Mfano wa Mengi na hii topic ni tofauti...! Kumbuka kabisa jambo hili likifanywa na mama ni tofauti kabisa likifanywa na Baba..
Nina nyumba kadhaa town nishindwe kuishi na mtu wangu kisa watoto. Hainiingii akilini bado.
 
Sikujua kwamba things fall apart ilishatukumba siku nyingi.

Hivi mtu unaingiaje kwa room yako kulala huku ukijua kuna jamaa anamzini mamako? Yaani sielewi kabisa!
Sipati picha! Na watu ambao hawajui ni kuwa hapa ni Swala la Mama kufanya hivyo mbele ya mwanae wa kiume hakika maumivu ni tofauti kabisa na mtu mwingine
 
Kosa la mtoa mada ni nini hapo? Nani alisema kuwa umri fulani anatakiwa aroll na wa umri huu, mbona wanafiki nyie watu?

Kwa hy mamako mzazi mwenye miaka 54 kukanyagwa na kashkaji tena hom kwenu unaona poa tu
 
mkuu huyo kijana anakuonea wivu na anakuona unatembelea gari la Mama yake cha msingi mwambie huyo Mama muhame Haraka kama anakupenda
kweli
 
Back
Top Bottom