Mwanae hanitaki kabisa, nifanyeje?

Mwanae hanitaki kabisa, nifanyeje?

Leo umeniangusha, umekua mgumu sana kuelewa, yani umri wao, mapenzi yao, kama sheikh anahongwa, kama ni marioo hayo ni makubaliano yao hayahusu hata kidogo..... Tatizo ni huyu jamaa kuhamia pale home hebu assume ni wewe unaishi kwenu na mama halafu mama analeta kibuzi maringo humo ndani kiishi hivi utajisikiaje?

Sikujua kwamba things fall apart ilishatukumba siku nyingi.

Hivi mtu unaingiaje kwa room yako kulala huku ukijua kuna jamaa anamzini mamako? Yaani sielewi kabisa!
 
Nyumba unayoishi ni Mali ya nani?! Ungekuwa kwenye mji wako unaoumiliki kamwe usingeletewa dharau .. Inaonekana una vimelea vya umariooo....hama kapange kwako aje akuchokoze kwako. Usiwe kiazi
 
Wewe ukoje? Hivi mtu kumzini mamako mbele huioni kama sababu tosha ya kuondoa shingo ya mtu?

Aisee tumetofautiana sana kuwaza yani mi naona kijana yupo right asilimia 100, anatakiwa amtandike kabisa huyo kibuzi wa mama
 
Aisee tumetofautiana sana kuwaza yani mi naona kijana yupo right asilimia 100, anatakiwa amtandike kabisa huyo kibuzi wa mama

Unaongelea kutandika? Mie namaliza udhia kabisa. Ni dharau kubwa sana mtu kumkula mamako mbele yako aisee.

Bora nife kwanza.
 
Sikujua kwamba things fall apart ilishatukumba siku nyingi.

Hivi mtu unaingiaje kwa room yako kulala huku ukijua kuna jamaa anamzini mamako? Yaani sielewi kabisa!

Yani huu ujinga mie hapana, bi mkubwa akiamua kuwa na msela ni sawa ila wakamalizane mbali huko sio kumleta nyumbani
 
Unaongelea kutandika? Mie namaliza udhia kabisa. Ni dharau kubwa sana mtu kumkula mamako mbele yako aisee.

Bora nife kwanza.

Ha ha ha inabidi akitoka humo ndani awe kwenye ambulance ataenda kuzindukia ICU
 
Anyways. Maisha binafsi but.
Sasa huyo kijana atamla mama yake?
Mengi Reginald na k mnamsifia. Au kwa kuwa ana chapaa

Yani upo chumbani kitanda kinalia kwichi Kwichi mwanao kakaa sebleni huoni aibu mama??? Ukitoka hapo upo comfortable kabisa??? Chinekeeeeee
 
Tena mwambie wazi wazi, kwamba wewe unampatia dudu mamake!kama yeye anaona hiyo sio kazi basi yeye ampe mamake.
 
Huu sasa uchuro. Mtoto wa kiume anashangilia kutunzwa kama kid.

Shame on you!
 
Nimeleta uzi Jana wa Mwanae hanitaki kabisa, nifanyeje? kuomba ushauri kuhusu huyu kijana ambae naishi na mama yake nyumba moja, na tunaishi na huyu kijana pia mwenye miaka 21, mimi Nina 34 na mpenzi wangu ana 51.

Lakini kinyume na matarajio yangu nimetukanwa sana kwenye uzi huo kwamba nimefuata pesa kwa mama huyo, kwamba mimi ni marioo.
Nimesikitishwa sana hivyo naomba kusahihisha.

(1) Wakati wanafungua chuo huyu kijana aliombwa na mama yake akakae hostel ili tupate nafasi ya kupumua mle ndani lakini akakataa, lengo la kukataa ni kutaka kutuvurugia mapenzi yetu, na ameapa atayavuruga tu kwa namna yoyote ile.

(2) Huyu kijana ana baba yake aliemkimbia mama yake na kwenda kuoa mwanamke mwingine, sasa mama yake nae akiwa na mpenzi kuna ubaya?

Na kwanini basi asiende kuishi kwa baba yake DSM?
Hadi anganganie hapa na kutuletea fujo!
Isitoshe mim ini mkubwa kwake 34 kwa 21 ni tofauti kubwa sana ya umri, mimi sio age mate wake, mnaobeza tofauti hiyo mnanishangaza sana.

(3) Ingekua tunazungumzia mwanaume ana hata 80 yrs na binti 18 yrs msingeona ajabu, tena akina dada wangekua wanashabikia kabisa, lakini inapotokea mwanamke ndie mkubwa inakua ajabu
Sielewi kwanini mnakua hivyo.

Huyu mwanamke wangu anajiweza kimaisha na ameamua kunisaidia mimi kimaisha kama mpenzi wake ambae nilikua najikongoja kimaisha, kuna ubaya?Mbona mwanaume tajiri anapomsaidia binti maskini maisha hamsemi?

Ikiwa kinyume chake ndio mnasema? Wakati kuna thawabu nyingi sana mwanamke akifanya hivyo.Nimemvumilia sana huyu kijana na nimefika mwisho, hawezi kunitangaza mimi mtaa mzima na kunidhalilisha kwa ndugu na jamaa, mbona alipotaka kufukuzwa na mama yake mimi niliingilia kati?

Mimi pia ni mafia, nafanya utu tu, sasa utu huo nauvua ngoja tuone sasa na nyinyi wanaume wenzangu humu ndani inakuaje mnashindwa kuniunga mkono na kunipa support kwa jambo hili?

Mnaungana na watoto wa kike kunishambulia badala ya kunishauri njia nzuri ya kutatua hili tatizo.Mimi na mpenzi wangu tulitaka kufunga ndoa siku nyingi ili tuweze kuishi kwa amani na upendo lakini kutokana na huyu kijana mama yake anaahirisha kila Mara, anajaribu kunivurugia.

Ngoja tutaona, nimechoka sasa.
We una mambo ya ajabu sana hivi wewe na umri huo utakubali mama yako afanye umalaya mbele yako tena ndani kama huyo mama anakupenda na uwezo anao akupangie chumba acha ubongo lala wewe na muunga mkono dogo akupasue kichwa tu,
 
Yaani ndio umerudi kuandika pu.mba kabisa unatia aibu hata sijamaliza kukusoma

Unawivu na mtoto wa huyo mama kwanini wewe usiende kuishi kwa wazazi wako unaenda kusaka mali za huyo mama

Inaelekea hautaki kutoka naomba Mungu wasome post zako hizi kabisa...
 
Umefaya mali unatia aibi hilooooo

Unatuletea hasira humu eeeh tamaa ya pesa imekujaa na utaisoma namba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom