Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
Sheikh kanichekesha sana na huu mrejesho
Mimi nimeona kama ni ufafanuzi zaidi kuliko mrejesho!
Sheikh kanichekesha sana na huu mrejesho
Teh Teh Mbishi sana huyu mzee huwa nacheka sana alinipa burudani kwenye uchaguzi mkuu!Huyu jamaa nae nshacheka hadi machozi, from urais to ukocha, nlicheka zaidi alivosema kaibiwa kura
Hebu ngoja nimwite mpendwa Paulo Sergio De Souz anaweza kuchangia kitu hapa!
Mimi naona maluwe luwe tu.
Mkuu story yako ni short chasis.
Hujaelezea uhalisia wa huyo amma. Je ni mjane? Au ameachika?
Na wewe hujaelezea historia yako ya kimapenzi kabla hujakutana na huyu mama.
Je ulikuwa kwenye mahusiano wakati unakutana na huyu mama? Au umeachika?
Na pia hujaelezea tofauti ya umri uliopo kati yako na huyo mama. Amekuzidi au umemzidi au mnalingana?
Na pia hujaelezea mipango halisi ya hayo mapenzi yenu, je mnataka kuishi kama mke na mume au mnaendekeza tamaa zenu tu kwa sasa au mwenzetu umekumbwa na tamaa ya utajiri wa mama kwa sababu anazo hela?
Na je, suala la kuhamia kwake despite kwamba huyo mama ana umri unadhani ndo suluhu ya mapenzi yenu au mwenzetu umeshatiwa limbwata kwa hiyo umejikuta umetia timu kwa 'mama' kimazingaombwe?
Na je, hili suala lenu mshalifanya kuwa 'official' kwa ngazi ya ndugu, viongozi wenu wa kiroho na kadhalika au mmeamua kuvunja tu amri ya "msijamiiane na kuzini"?
Nna maswali mengi ila naona umenichanganya zaidi.
Anyway..........
Mimi nimeona kama ni ufafanuzi zaidi kuliko mrejesho!
Kaleta mrejesho wake tafuta usome una details zaidi
Bila shaka wazazi wa huyu kijana wanatamani mtu ange waletea kiroba cha chumvi na wao wakamkabidhi huyu jamaa
Hahaha. Huyu anatubeba usoro tu hapa. 9 outta 10 hawa watu wa mirejesho ni wazushi tu.
Ngoja tu nitumie nafasi hii kuomba mwenye Cosa Nostra ya JD, anisaidie. Naitafuta.
Ha ha ha ha sheikh ktk ubora Wako usitakee kila mtu akubali unachokitaka