Mwanae hanitaki kabisa, nifanyeje?

Tena mwambie wazi wazi, kwamba wewe unampatia dudu mamake!kama yeye anaona hiyo sio kazi basi yeye ampe mamake.

Blaza unapenda sana mtelemko kijana atakufanyia kitu mbaya uyo. Alafu Mwenye nyumba akirudi ghafla utafanyaje ? Au hujui kama mtalaka hatohatongozwi? Kachapie mbali dogo anaakili anajuaw unataka kuchukua urithi s?nde.
haha, ni mgeni ha p?.
 
Blaza unapenda sana mtelemko kijana atakufanyia kitu mbaya uyo. Alafu Mwenye nyumba akirudi ghafla utafanyaje ? Au hujui kama mtalaka hatohatongozwi? Kachapie mbali dogo anaakili anajuaw unataka kuchukua urithi s?nde.
haha, ni mgeni ha p?.

kkigalu: sio mimi bro, naona kuna mdau yamemfika.

NB: Shida sio ya huyo mwanaume wala mwanae, shida ni mama.
huwezi kuleta mwanaume ktk nyumba ya mtoto wa kiume mkubwa hivyo, kiafrika hii kitu mwiko.
 
Ukishaowa ndio tutakupa ushauri. Ati sheikh mmhh labda sheikh wa kuvila vizee vya watu.
 
Siku utakayoniona mimi tozi25 na mama yako ndio utajua maana ya kuwa faraha. Pweza wewe
 
Angekuwa kaoa labda kidogo ingeleta mantiki..ila uzini na mama yangu na tena kwenye nyumba yetu AF unataka heshima yangu,labda kama unipumbaze kwa miti shamba ulionayoo.

Hivi huyu jamaa hana mama? Anafurahi kumzini mama wa mtu mbele yake? Ashukuru sana kakutana na kijana mwoga. Ingekuwa kwa washikaji zangu tarime tungekuwa tunaongelea mambo mengine!
 
Ha ha ha inabidi akitoka humo ndani awe kwenye ambulance ataenda kuzindukia ICU

ICU ya nini? Ni straight mortuary!

Yani upo chumbani kitanda kinalia kwichi Kwichi mwanao kakaa sebleni huoni aibu mama??? Ukitoka hapo upo comfortable kabisa??? Chinekeeeeee

Huyu dada sijamuelewa. Hata kwenye ndoa tunawaheshimu sana watoto. Ndiyo maana siwezi kuamini kama kuna mwanamke anaweza kutoa mzigo freely mbele ya watoto wake, tena wa kiume.
 
Hivi huyu jamaa hana mama? Anafurahi kumzini mama wa mtu mbele yake? Ashukuru sana kakutana na kijana mwoga. Ingekuwa kwa washikaji zangu tarime tungekuwa tunaongelea mambo mengine!

Yaani huyu sio mwanaume kabisa na anauaibisha uanaume.mtoto wa kiume unaleta league za kike kwenye nyumba ya aliekuoa na tena na mtoto wake.hivi huyu ana mama kweli ??..unazini na mama ake afu unataka akukenulie meno ndani ya nyumba na tena inabidi aondoke ili amuondolee mawazo kijana mwenzangu
 
ICU ya nini? Ni straight mortuary!



Huyu dada sijamuelewa. Hata kwenye ndoa tunawaheshimu sana watoto. Ndiyo maana siwezi kuamini kama kuna mwanamke anaweza kutoa mzigo freely mbele ya watoto wake, tena wa kiume.

Wapo si unaona Mamndenyi anasema ni sawa
 
Mkuu vipi kwani wewe ndiye mtoto wa huyo mama unayesoma chuo

Ha ha haaaa hapana mkuu ila nilikuwa navuta picha kama ingelikuwa ni Mimi...inauma aisee na hata kama mama yupo single ili si vyema kufanya uzinzi mbele yangu
 
Ndo maana huoni shida kuolewa mwanaume mzima...mungu pishilia mbali isitokee kwa mama yangu. ...I tell u mie ndo ningekuwa mtoto wa huyo mama...hakika ningekung'oa meno kabisa...shukuru dogo ni mstaarabu.
 
Mi ningekua huyo kijana ningemuomba bmkubwa nikuonje.
 

unaifahamu menopause?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…