Miaka 34 unalelewa what a shame!
Kwanza huyo Kijana wachuo kwa hasira anatakiwa Kuondoka hapo...kuendelea kukaa hapo ni kuendelea kudhalilishwa...Ha ha ha hata kuendesha gari aendeshe tu ikibidi avae na madera ya huyo maza dah part inayoleta hasira ni msela kuhamia hapo nyumbani yani nnavojisikia hasira utadhani sheikh kahamia kwetu lol
Kwanza huyo Kijana wachuo kwa hasira anatakiwa Kuondoka hapo...kuendelea kukaa hapo ni kuendelea kudhalilishwa...
Watu wanatakiwa kujua pamoja na uhuru walio nao wazazi lakini Mama kumleta mtu ndani tena ka kijana ni Fedheha kwa watoto na huwaharibu kabisa Kisaikolojia najaribu kufikiri hali ya Kichwa aliyo nayo huyo kijana sipati na bado naona ana moyo sana tena sana na ni ngumu kuvaa viatu vyake....
sijui nikuulizeje juu ya izo maaandishi rangi nyekundu
Kama unaakili hama hapo nyumbani.tena hata usipendele kuendesha gari ya huyo mama.Sisi wanaume tuna wivu sana na mama na wake zetu.mnaeza kuendelea na hayo mapenzi yenu mbali na nyumbani.unamtesa huyo mwanaume kisaikolojia
nasubiri anipe mawasiliano ya kijana ushauri nimpe kijana maana huyu ni zuzu hataelewamuulize hivi " je mategemeo yako ni nini katika hayo mapenzi na huyo mama yake ambaye angeweza hata kumzaa? au unataka kulelewa? na pia mshauri atafute msichana mdogo aoe akaanzishe familia yako umarioo ni upuuzi"
Kwanza huyo Kijana wachuo kwa hasira anatakiwa Kuondoka hapo...kuendelea kukaa hapo ni kuendelea kudhalilishwa...
Watu wanatakiwa kujua pamoja na uhuru walio nao wazazi lakini Mama kumleta mtu ndani tena ka kijana ni Fedheha kwa watoto na huwaharibu kabisa Kisaikolojia najaribu kufikiri hali ya Kichwa aliyo nayo huyo kijana sipati na bado naona ana moyo sana tena sana na ni ngumu kuvaa viatu vyake....
Umepata watoto wa kambo wastaarabu hongera, ningekua kati yao ningeshakutoa ngeu
Basi bora ampige na kitu kizito kuliko kuendelea kufedheheka hivyo!Kama yupo chuo atahamaje sasa nyumbani labda hata kazi hana, yani ampishe huyu sheik kipozeo?!
You're dating his mother, not him. Mwambie mama yake. Kama amemshindwa, kubali tu. It goes with the territory.