moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,174
- 3,006
- Thread starter
- #101
kwanini mkuu?ulitaka utongozwe na mkaka wa JF?
kwanini mkuu?ulitaka utongozwe na mkaka wa JF?
Kabisa aiseeee....Wanaume halisi wanakaa kimya,hizo tabia wewe sijui umezitoa wapi.
Wewe unafikiri yeye akiona hapa atajisikiaje,kwanza atatuona wanaume wote humu ni kama wewe.
kumbe unaweza ukawa mtabiri mkuu ?Ndo humo humo, kwani unadhani unaanzaje kutongozwa?
Anasema uko amaizing, kesho anataka akuone, baada ya hapo anakuomba umuamaze zaidi!
hedingi yako haijakaa pake...kwanini mkuu?
Mbona unajibu kama wewe ndo mimi.?Anamapenzi ya kweli na mkono wake..
Chezea punyeto wewe
Hahahaha,pole sana mkuu.Kabisa aiseeee....
Alafu huyu jamaa kaniharibia kabisa, maana nilikua tayari nimeanza kuzoza mdada humu, na tayari keshaniachia manyoya
Asante mkuu,sasa nishauriMmmmmhh! Kama mmeliziana poa!!
ulitaka iweje? na ikae wap?hedingi yako haijakaa pake...
hakuna sehem nilyokiri kama nimetungaKwakuwa umekiri basi nakubaliana nawe asante
hebu weka namba tuhakikishe? halafu na mambo ya ushoga usilete humu JamiiForumshuwa tunawasiliana kwa simu na saut yake nimeisikia kanitumia pcha zaid ya saba,nimejua ni mwanadada coz nkimwambia anitumie pcha ananitumia muda huo huo kwa mapoz ninayohtaj mim
Hapana nina maana kuwa kwakuwa umekiri kuwa ni kwelihakuna sehem nilyokiri kama nimetunga
iwe kama ulivyo,,,then uibebeulitaka iweje? na ikae wap?
anataka kikiswala hapa ni wewe kutongozwa? kua na upendo wa kwel au kuacha nyeto after kuwa na mahusiano bado sijaelewa unataka tujadili kip haswa?