Mwanadada wa JF kanitongoza

Mwanadada wa JF kanitongoza

TULIA UENDE ROOM UKUTE NI TRANSGANDER
4 Days Camping Safari Tanzania.jpg
 
Tangu nilipo pitisha maamuzi ya nyeto kila siku,kuna mrembo ameniruhusu ata nikiomba ushauri JF kuwa hamna shida,amenitongoza na amenihakikishia atanipenda vizuri,tumebadlshana namb za simu ameweza kunitumia picha zake kwa muonekano ni mzuri,je mahusiano yakianza kunaweza kua na upendo wa kweli?
So what....?????
 
Pumba***** dume zima huna hata siri. Mwenzako amekuthamini ili akuponye na hata kaugonjwa ka nyeto wewe unakuja kututangazia huku. Ukiachwa utaanza kuja kulalamika tena na sababu lukuki na nahisi siku ukipewa tunda utakuja kutuhadithia humu ndani.

MWANAUME JIFUNZE KUWA MSIRI.
 
Tangu nilipo pitisha maamuzi ya nyeto kila siku,kuna mrembo ameniruhusu ata nikiomba ushauri JF kuwa hamna shida,amenitongoza na amenihakikishia atanipenda vizuri,tumebadlshana namb za simu ameweza kunitumia picha zake kwa muonekano ni mzuri,je mahusiano yakianza kunaweza kua na upendo wa kweli?
Kiukweli ni kwamba hakuna kwakuwa hata hii habari yenyewe ni ya kutunga kiwango cha ritcher 7.0
 
Pumba***** dume zima huna hata siri. Mwenzako amekuthamini ili akuponye na hata kaugonjwa ka nyeto wewe unakuja kututangazia huku. Ukiachwa utaanza kuja kulalamika tena na sababu lukuki na nahisi siku ukipewa tunda utakuja kutuhadithia humu ndani.

MWANAUME JIFUNZE KUWA MSIRI.
kwani siruhusiwi kuomba ushauri?Soma vizuri hyo thread af uje tena
 
hapa tunaongelea kutongozwa mkuu sio uamaizing

Ndo humo humo, kwani unadhani unaanzaje kutongozwa?

Anasema uko amaizing, kesho anataka akuone, baada ya hapo anakuomba umuamaze zaidi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom